ndiyo hiyo Out of time. huyo sister nampendaga sana na jina lake la kiswahili.
Dahhhh mkuu hapo huwezi kuwalinganish
Wote wakali
Hapo kuna Simba, Tembo na faru.
inawezekana Denzel anapendwa sana sababu ya uhandsome, maana Samuel ana sura ya kinyakyusa kwelikweli.Denzel ana fit perfectly into any role you give him. Hao wengine ni ktk filamu flani zenye maudhui yenye kufanana.
Kuna miaka ya nyuma huko US walimchagua Denzel kama ndiye the most handsome black American.
Glory ndo Denzel alipata Oscar ya kwanza
Hii ikampa oscar ya Pili....hii movie jamaa aliigiza gangstar polisi kichaa
Hii movie nimeitazama zaidi ya mara 5 na sijachoka kuirudia
Wote watatu wameshakuwa kama lead actors katika movie nyingi tu.Well, ukiwaangalia hawa actors wote ni wakali tena sana. Lakini hawawezi kuwekwa kwa katika kundi moja. Kwa Denzel yeye yupo katika category ya main/lead character(actor) while morgan na samuel mara nyingi wanakuwa katika support actors.
Ni mtazamo wangu tu
Umo ndiyo utajua uyo jamaa ni konyo.......noma sana hii movieAfu kuna kazi inaitwa EQUALIZER ya Denzel...katisha sana humo
Inaitwa OUT OF TIME.kuna movie aliigiza na Sanaa Lathan nimeisahau jina
nzuri sana
Dadeq ana motion kama anaendesha baskeli...Freeman na Jackson Mara nyingi ni supporting cast kwenye movies..Denzel any movie yeye ni Starring.. Denzel is just Denzel na motion yake ya kibabe.