Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
- Thread starter
- #21
Siamini ndiyo,,tena unasema uko na dada?Haaaa miss neddy!
hahahah sa ningesema niko na houseboy ungeng'aka bora dada
Last edited by a moderator:
Siamini ndiyo,,tena unasema uko na dada?Haaaa miss neddy!
Yani ww ni zaidi ya sana.
Nini kitatokea kama watakutana ana kwa ana gest house corridoni, mme akitoka na kipotabo chake huku mke nae na mchepuko wake wakiingia gest hiyohiyo?
hahaha na mume je
Mwanamke ndiyo muongo zaid, maana amesema anaenda kanisan pia yupo na dada!
mume mkweli alikuwa kweli gerezani
Dingi kauwa..
mmmh 50/50
umeona eeeeeeh
mwaga uhali namwaga mboga
miss neddy huko unakoenda ndio kanisani? Na huyo ndo dada?
hahaha we hufai kumbe
Mwanamke ametumia nukta mbili,kanisani na dada,wakati mwanamme ametumia nukta moja,polisi.2/1 mwanamke zaidi.mmmmmmmh!! watuuuu
ivi ni lini wanaumr tutakubali udhaifu kwetu? kwanini mwanamke kaonekana mmbaya zaidi ili hali wote wamefanya kosa?ebu tubadilike
tena kama nimetenga matunda au juyc pia inamwaga ila sio mimi ni picha miss neddy MUME WANGU YUPO HUMU