GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Kura yangu ingeenda kwa Mkaburu kwa sababu zifuatazo:
1. Uongozi wao ndiyo uliyoiwezesha Afrika Kusini kuwa miongoni mwa nchi zilizoendelea duniani
2. Makaburu wanaonekana ni wachapa kazi tofauti na "Wazulu" wanaoonekana ni wavivu na wapenda starehe
3. Tokea "Wazulu" washike hatamu, inaonekana kama kasi ya maendeleo ya Afrika Kusini imepungua
4. "Wazulu" wameshindwa kutokomeza uhalifu
5. "Wazulu" hawawapendi Waafrika wenzao
Kura yako ingeenda wapi na kwa nini?
1. Uongozi wao ndiyo uliyoiwezesha Afrika Kusini kuwa miongoni mwa nchi zilizoendelea duniani
2. Makaburu wanaonekana ni wachapa kazi tofauti na "Wazulu" wanaoonekana ni wavivu na wapenda starehe
3. Tokea "Wazulu" washike hatamu, inaonekana kama kasi ya maendeleo ya Afrika Kusini imepungua
4. "Wazulu" wameshindwa kutokomeza uhalifu
5. "Wazulu" hawawapendi Waafrika wenzao
Kura yako ingeenda wapi na kwa nini?