Kati ya Mbagala na Gongo la Mboto wapi kuna watu wengi?

Kati ya Mbagala na Gongo la Mboto wapi kuna watu wengi?

Hamna zimejaa kaya masikini
Tajiri hawezi ishi mbagala
Labda awekeze kama kina moo na baresa manake maskin ndo wamejaa huko,wa bidhaa za bei rahisi,za jero na buku buku zinazotoka daily
Hii inaweza kuwa kweli, sijawahi sikia maduka mazuri ya nguo mbagala kama ilivyo Mwenge na Sinza.

Yamkini mbagala iko na watu wa uchumi wa chini sana kuliko sehemu yeyote Dar
 
Siku nimekuja kujua mbagala ina watu wengi baada ya kushika top 3 kwa shule za msingi zenye watoto wengi.
1-mbande primary ina wanafunzi 9800
2-chamazi ina wanafunzi 8500
3-mbagala rangi tatu ina wanafunzi 8300.
Hapo kila mtoto ana wazazi wawili, kaka zake na dada zake wako Sekondari, na uncle mmoja konda..
 
Wakuu mambo vipi?

Nawasogezea mada hapo ni hivi kati ya Gongo la mboto (Goms) na Mbagala(Mbajara in mateja voice) je ni sehemu gani ina watu(nyomi) wengi kuliko mwenzie ukija na hoja yako weka na sababu.

Binafsi na naanza na Mosi kusema Gongo la mboto ina watu wengi kuliko Mbagala kwa sababu Gongo la mboto kuna treni la mwakyembe ambalo lililetwa naamin linabeba sio chini ya watu buku au zaidi kwa tripu moja na kwa siku linapiga tripu 3 asubuhi na tripu 3 jioni ila pamoja na hivyo bado daladala za kkoo na posta zinazoenda Gongo la mboto zanapiga kazi kama kawaida wakati mbagara majuzi Mwendokasi wamefanya majaribio madaladala wameeanza kulia kulia abiria hakuna.

Mbili Mbagala wengi sio wakazi wa pale wengi wanatoka mikoa ya kusini kuja kufanya biashara na kutawanyika makwao wakati Gomsi ni makazi ya watu na Gari za Mbagala kwenda gomsi jioni hazikamatiki.

Yote kwa yote kwenye madaladala kuna vituko na vimbwangwa sana.

Nawasilisha.
Mbagala one ndugu,šŸ¤”
 
Wakuu mambo vipi?

Nawasogezea mada hapo ni hivi kati ya Gongo la mboto (Goms) na Mbagala(Mbajara in mateja voice) je ni sehemu gani ina watu(nyomi) wengi kuliko mwenzie ukija na hoja yako weka na sababu.

Binafsi na naanza na Mosi kusema Gongo la mboto ina watu wengi kuliko Mbagala kwa sababu Gongo la mboto kuna treni la mwakyembe ambalo lililetwa naamin linabeba sio chini ya watu buku au zaidi kwa tripu moja na kwa siku linapiga tripu 3 asubuhi na tripu 3 jioni ila pamoja na hivyo bado daladala za kkoo na posta zinazoenda Gongo la mboto zanapiga kazi kama kawaida wakati mbagara majuzi Mwendokasi wamefanya majaribio madaladala wameeanza kulia kulia abiria hakuna.

Mbili Mbagala wengi sio wakazi wa pale wengi wanatoka mikoa ya kusini kuja kufanya biashara na kutawanyika makwao wakati Gomsi ni makazi ya watu na Gari za Mbagala kwenda gomsi jioni hazikamatiki.

Yote kwa yote kwenye madaladala kuna vituko na vimbwangwa sana.

Nawasilisha.
1 MBAGALA
2GONGO LA MBOTO
3 MBEZI
Anayebisha hili huyo ni mgeni jijini Das'lama
 
Hii inaweza kuwa kweli, sijawahi sikia maduka mazuri ya nguo mbagala kama ilivyo Mwenge na Sinza.

Yamkini mbagala iko na watu wa uchumi wa chini sana kuliko sehemu yeyote Dar
Pamoja na hayo sidhani pale mwenge kuna frem yenye bei kubwa kuliko mbagala!
Pale mbagala rangi 3 bila mil 2 haujapata frem,ila mwenge laki 8 unapata frem
 
Mzee ebu kuwa serious hivi unaijua 500k vizuri yahn mbagara iwe na watu 200k aisee umeenistua sana naamini huzijui namba vizuri.

Nijuavyo mimi mbagara mwisho pale ndio kuna changanyiken ya watu ambayo pia kumbuka kuna watu kibao wanatoka goms wanaenda huko mbagara kupiga mishe ........

Chunguza gari za goms kwenda mbagara mara nyingi
asubuh zinajaa zikitoka gomsi kwenda mbagara na jioni zinajaa sana zikitoka mbagara kwenda gomsi hii maana yake ni kuwa katika hilo nyomi la mbagara kuna nyomi la watu wanaotoka gomsi na kwenda mbagara na kurudi kwa maana rahisi wanafanya mishe zao mbagara ila wanaishi Goms.

Fact ya daladala huwezi kuipotezea maana ndio indicator ya kujua wapi kuna watu wengi kuna sehemu mida ya jioni gari bwelele ila kuna maeneo gari kupata ni mapambano mfano pale station gari za mbagara zinakuja hata sio za kugambania sana.

Gongo la mboto hapa jua inaanzia airport,banana,mombasa,kituo kipya,gomsi,pugu,chanika,homboza,zingiziwa hiyo yote ni miji inakuwa na ina ruti zake za kwenda mjin.

Hapa inabidi apatikane mtu wa sensa na takwimu ndio atamaliza utata.
mwambie huyo popote ulipo dsm hii gari ya gongo la mboto kuipata ni vita.

watu wanaonunua magari ya abiria daladal wanajua route ipi ina demand kubwa sana.ndio sababu uwekezaji wa gari za gharama zaidi uko gomz,sababu uhakika wa kurudisha pesa upo.

tata ni nyingi sana gomzi.
 
GridArt_20230918_221857364.png
 
Back
Top Bottom