Mzee ebu kuwa serious hivi unaijua 500k vizuri yahn mbagara iwe na watu 200k aisee umeenistua sana naamini huzijui namba vizuri.
Nijuavyo mimi mbagara mwisho pale ndio kuna changanyiken ya watu ambayo pia kumbuka kuna watu kibao wanatoka goms wanaenda huko mbagara kupiga mishe ........
Chunguza gari za goms kwenda mbagara mara nyingi
asubuh zinajaa zikitoka gomsi kwenda mbagara na jioni zinajaa sana zikitoka mbagara kwenda gomsi hii maana yake ni kuwa katika hilo nyomi la mbagara kuna nyomi la watu wanaotoka gomsi na kwenda mbagara na kurudi kwa maana rahisi wanafanya mishe zao mbagara ila wanaishi Goms.
Fact ya daladala huwezi kuipotezea maana ndio indicator ya kujua wapi kuna watu wengi kuna sehemu mida ya jioni gari bwelele ila kuna maeneo gari kupata ni mapambano mfano pale station gari za mbagara zinakuja hata sio za kugambania sana.
Gongo la mboto hapa jua inaanzia airport,banana,mombasa,kituo kipya,gomsi,pugu,chanika,homboza,zingiziwa hiyo yote ni miji inakuwa na ina ruti zake za kwenda mjin.
Hapa inabidi apatikane mtu wa sensa na takwimu ndio atamaliza utata.