Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,243
- 12,769
Eti wakuu. Nchi ipi imeendelea zaidi. Ywani kiuchumi, kielimu, umeme, afya, elimu nk.
Habari nyingine ipi labda mbele ya Ivory Coast? Tunaulizia maendeleo sio GPP size.Tanzania ni habari nyingine.
Japo kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja (per capital income) wametuzidi but
Gdp na ppp yetu ni kubwa kuliko wao
Umewahi kufika hata Namanga au Tunduma?Tanzania ni habari nyingine.
Japo kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja (per capital income) wametuzidi but
Gdp na ppp yetu ni kubwa kuliko wao.
Nchi za West Africa ni Nigeria tu ndio atatutetemesha
Gdp ni factor ya muhimu sana kwenye nchi ambazo hazitofautiani sana per capital incomeHabari nyingine ipi labda mbele ya Ivory Coast? Tunaulizia maendeleo sio GPP size.
Ivory Coast Iko mbali ya Tzn siku nyingi sana kuanzia miundombinu Hadi maisha.Gdp ni factor ya muhimu sana kwenye nchi ambazo hazitofautiani sana per capital income
Ivory Coast Iko mbali ya Tzn siku nyingi sana kuanzia miundombinu Hadi maisha.
Tzn ni Kati ya Nchi 5 Zenye namba kuumbwa ya maskini Afrika Sasa hapo GDP inakusaidia nini?
Ivory Coast Iko mbela ya Tzn Kwa Kila idara,hata Jiji la Abidjan ni kubwa na Lina maendeleo kuliko Dar sio Kwa idadi ya watu Wala miundombinu au majengo marefu.
View: https://youtu.be/OepYPIjyDgQ?si=KFx5r4GOWw2nR-sF
Nigeria na Ethiopia ni kundi Moja tuu la Nchi za hovyo afadhari ya BongoHata nigeria ina masikini wengi kuliko tz
Nairobi na Sa piaUmewahi kufika hata Namanga au Tunduma?
Kielimu na elimu ni mambo mawili tofauti au hujui unachotaka kuuliza?Eti wakuu. Nchi ipi imeendelea zaidi. Ywani kiuchumi, kielimu, umeme, afya, elimu nk.
Eti nigeria nchi ya hovyo! , Umiefananisha na nchi gani kwanza?Nigeria na Ethiopia ni kundi Moja tuu la Nchi za hovyo afadhari ya Bongo
Mhh Mungu atusaidieTanzania ni habari nyingine.
Japo kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja (per capital income) wametuzidi but
Gdp na ppp yetu ni kubwa kuliko wao.
Nchi za West Africa ni Nigeria tu ndio atatutetemesha
Nigeria ni Nchi ya hovyo kulinganisha na Tanzania tuu hapa.Eti nigeria nchi ya hovyo! , Umiefananisha na nchi gani kwanza?
Hebu danganya ccm wenzako hapo kivule
Mh Mungu tusaidie vijana wanajitoa ufahamu hata mambo ya kweli wanayapindua pinduaNigeria na Ethiopia ni kundi Moja tuu la Nchi za hovyo afadhari ya Bongo
Mji mkuu ni Yamoussoukro.... Abidjan ni Jiji la kibiashara kama ilivyo kwa Tanzania Dar Es SalaamNi Ivory Coast maana ilishaingia Uchumi wa kati kitambo licha ya kuwa na vita.
Pia huo Mji Mkuu wao wa Abidjan ni una maendeleo kushinda Jiji lenu la kipindupindu la Dar both in terms of quality and population
Unajitoaa ufahamu....kweli siasa mbayaNigeria ni Nchi ya hovyo kulinganisha na Tanzania tuu hapa.
Kuna jipya lipi labda? Maana giants wenzie kina South na Egypt au Morocco imeiipita mbali.
Ivory Coast Iko mbali ya Tzn siku nyingi sana kuanzia miundombinu Hadi maisha.
Tzn ni Kati ya Nchi 5 Zenye namba kuumbwa ya maskini Afrika Sasa hapo GDP inakusaidia nini?
Ivory Coast Iko mbela ya Tzn Kwa Kila idara,hata Jiji la Abidjan ni kubwa na Lina maendeleo kuliko Dar sio Kwa idadi ya watu Wala miundombinu au majengo marefu.
View: https://youtu.be/OepYPIjyDgQ?si=KFx5r4GOWw2nR-sF