Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
- Thread starter
- #61
Out of the topic, hivi umesgaona Katina ya Conversion People’s Party chama cha Nkurumah?Msingi na msimamo wa rais nyerere wakati ule kuhusu kuunganisha afrika moja ulilenga "kuboresha na kuunganisha jumuiya ndogo ndogo za kikanda(regional integrations) kabla ya kuunda kwa nchi moja ya afrika"
Nyerere alitaka tusirukie moja kwa moja kwa kuanzisha nchi moja ya afrika badala yake tuanze kwa kuunda regional integration kwanza mfano ecowas, EAC, SADC nk.
Msimamo huu ulipingwa sana na Dr Nkrumah mwaka 1963 yeye alitaka twende moja kwa moja kuanzishwa kwa united state of Africa(Taifa moja la africa)
Nkrumah walivutana sana kwa hoja na Nyerere kuhusu misimamo yao hii.
TANU waliibdba ilivyo ni copy and paste.