Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka watu wenye kutathmini soka la Ulaya ktk vituo mbalimbali vya Luninga hapa nchini.
na kila kukicha wanaibuka na inaaminika wataibuka wengine kadha wa kadha wenye kujua kutathmini na kuelezea soka la ulaya.
Uzuri ni kuwa kutathmini soka haijalishi kuwa ulicheza mchezo huo au la...
Kilichonipelekea kuanzisha mada hii ni hali ya ubishi niliokumbana nayo kitaa mara kadhaa, watu wamekuwa wakibishana na kila mmoja kuvutia upande wake
Wengine wakisema Dr LICKY ABDALLAH
Wengine wakimtaja SHAFII DAUDA
Na Hata wengine wakionekana kumkubali EDO KUMWEMBE.
je kwa wewe mwana JF unayefuatilia soka la ulaya kuliko la hapa una mtazamo gani?
Je ni nani anayetathmini kwa kina soka na anajua kueleza makosa, kueleza aina ya mchezo wa timu husika, anayejuwa mapungufu ya vikosi husika, mwenye DATA za ukweli, mwenye breaking newz, mwenye hadithi za kale zenye radha na msisimko?....nk nk nk nk
na kila kukicha wanaibuka na inaaminika wataibuka wengine kadha wa kadha wenye kujua kutathmini na kuelezea soka la ulaya.
Uzuri ni kuwa kutathmini soka haijalishi kuwa ulicheza mchezo huo au la...
Kilichonipelekea kuanzisha mada hii ni hali ya ubishi niliokumbana nayo kitaa mara kadhaa, watu wamekuwa wakibishana na kila mmoja kuvutia upande wake
Wengine wakisema Dr LICKY ABDALLAH
Wengine wakimtaja SHAFII DAUDA
Na Hata wengine wakionekana kumkubali EDO KUMWEMBE.
je kwa wewe mwana JF unayefuatilia soka la ulaya kuliko la hapa una mtazamo gani?
Je ni nani anayetathmini kwa kina soka na anajua kueleza makosa, kueleza aina ya mchezo wa timu husika, anayejuwa mapungufu ya vikosi husika, mwenye DATA za ukweli, mwenye breaking newz, mwenye hadithi za kale zenye radha na msisimko?....nk nk nk nk