Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 15,812
- 40,297
Naomba niwaulize hasa viongozi wa dini wa kiislamu na kikristo kati ya hayo mawili kipi huanza ili kingine kifwate.
Mfano.
Mtu anaiba kura ukikemea unaitwa mchochezi Yani mwizi wa kura anakuwa na haki kuliko yule anayefichua wizi.
Ndani ya jamii kuna utekaji na mauwaji ya raia holela anayekemea utekaji anakamatwa na kufanyiwa ufedhuli ila mtekaji na muuwaji wa raia analindwa.
Rasilimali za nchi zinaibiwa na kuporwa na mafisadi anayefichua mafisadi anakamatwa na kuwa na hatia au kuuwawa ila mafisadi yenyewe ndio Yana lindwa.
Mifumo yote ya uchaguzi ni uongo na kiini macho na imewaumiza wengi anayelilia mabadiliko ya haki anakamatwa na kutaka kunyongwa ila majizi ya uchaguzi yanatamba.
Mahakama zote zipo corrupt hazitoi haki tena ila zinasubiri maelekezo ya nini Cha kufanya katika mazingira kama haya je wapenda haki mabadiliko na maskini wanapoonewa na mifumo iliyohodhiwa na majizi na kulindwa na Dola waki react kujikomboa ni kosa?
Mfano.
Mtu anaiba kura ukikemea unaitwa mchochezi Yani mwizi wa kura anakuwa na haki kuliko yule anayefichua wizi.
Ndani ya jamii kuna utekaji na mauwaji ya raia holela anayekemea utekaji anakamatwa na kufanyiwa ufedhuli ila mtekaji na muuwaji wa raia analindwa.
Rasilimali za nchi zinaibiwa na kuporwa na mafisadi anayefichua mafisadi anakamatwa na kuwa na hatia au kuuwawa ila mafisadi yenyewe ndio Yana lindwa.
Mifumo yote ya uchaguzi ni uongo na kiini macho na imewaumiza wengi anayelilia mabadiliko ya haki anakamatwa na kutaka kunyongwa ila majizi ya uchaguzi yanatamba.
Mahakama zote zipo corrupt hazitoi haki tena ila zinasubiri maelekezo ya nini Cha kufanya katika mazingira kama haya je wapenda haki mabadiliko na maskini wanapoonewa na mifumo iliyohodhiwa na majizi na kulindwa na Dola waki react kujikomboa ni kosa?