Bryson Mbeula
Member
- Sep 25, 2011
- 46
- 4
Ushindi ni ushindi tu, kwani hata Obama anaongoza kwa kuwa na muelekeo wa kurudi madarakani kwa mtizamo wa maoni ya mtandaoni. Anyway, ni mtizamo wangu.
si kila kitu tulinganishe na marekani,ni asilimia ngapi ya watanzania wapo kwenye hizo social networks??...huko vijijini watu hawajui hata hiyo "Twitter" ni nini!