Ni nani Mwanasiasa Interactive zaidi kwenye mitandao ya kijamii kati ya hawa?

Le Grand Alexei

Senior Member
Nov 9, 2011
116
83
Mara ya mwisho kuna mtu alibandika hapa majina ya wanasiasa kumi interactive zaidi kwenye social media lakini orodha yake ilikumbana na mapingamizi mengi sana kwa kuwa kuna wengine 'interactive' sana na hawakuwa wamewekwa badala yake waliwekwa watu maarufu tu. Ile ilinipelekea kufanya utafiti nikilenga kutoa orodha mpya na makini zaidi ya wanasiasa interactive kwenye social media Tanzania kwa mwaka 2012, bahati mbaya sana nimechelewa kukamilisha ripoti yangu. Leo nitaiweka wazi hapa chini.

Njia zilizotumika kuwapata wanasiasa hawa ni pamoja na kuangalia ushiriki wao wa wazi na wa moja kwa moja kwenye mijadala mbali mbali kwenye mitandao hiyo. Nilitengeneza excel sheet na kutally idadi kila mmoja alivyojitokeza moja kwa moja

1. kuanzisha mada
2. kuchangia
3. kujibu shutuma zake ama kutoa maelezo ya jambo lolote
4. kuchangia kwenye mijadala mbali mabli mizito ya kitaifa.

Media ama majukwaa niliyoyatafiti na ambayo ni maarufu ni pamoja na yafuatayo: Jamii forums, facebook, twitter, you tube, Bidii Forums, Mabadiliko Forums, Global publishers, Michuzi Blog na Tanuru la Fikra kule facebook. Pia niliandaa table nyingine nikatazama namna alivyorahisi kupatikana kwenye mtandao kwa njia ya kum-search - hapa nikilenga kupata number of hits per click; anapatikana kwenye mitandao ipi? je ana tovuti yake? je ana blogu yake? na hizi tovuti zake ziko active kiasi gani? ana update mara nyingi kiasi gani?

Matokeo ni kama ifuatavyo:
1. Dk. Hamisi Kigwangalla
2. January Makamba
3. Zitto Zuberi Kabwe
4. John John Mnyika
5. Nape Moses Nnauye
6. Dk. Wilbrod Slaa
7. Dk. Jakaya Kikwete
8. Shyrose Bhanji
9. Mohamed Dewji
10.Ridhiwani Kikwete
10. Halima J. Mdee

Tumetunza kumbukumbu hizi na tutakuwa tukitoa kila baada ya miezi mitatu na kila mwisho wa mwaka.

Ahsanteni,
Timu ya takwimu za mitandaoni.
 
Hizi takwimu zina walakini, kwa kuanza tu Shyrose vipi mbona anajirudia # 8, 10? rethink your outliers
 
Kama na global publishers ni katika sampling yenu, inaonyesha udaku mnauchukulia serious, na hii list inaweza kuwa ya kidaku vile vile.
teh teh teh. Interactions si lazima ziwe ni mambo serious pekee yake, hata haya ya kijamii ya kawaida kawaida tu, hata yaweza kuwa ya starehe na burudani
 
Huyu mbona hayupo? The Big Show.....

2364886719_09ed879e61.jpg
 
Mkuu Le Grand, kwenye ile list yangu, January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in TZ ..., jamaa still stand on top of the list, juzi, jana na leo!, na sababu pekee iliyomuweka January at the top ni kuwa, wakati wanasiasa wengine, wakihangaika na takrima za kugawa fedha na shibe ya siku moja, yeye alijikita kwenye distribution ya communication tools, mobile zenye mtandao, kwa wananchi wa Bumbuli hivyo yuko on direct contact na wapiga kura wake, 24/7 via free sms, facebook na tweeter. Ili kumjustify Dr. Kigwa kuwa ndie top, tupatia justification how interactive he is?.
Pasco.
 
Kuna mtu kati yao ana Klout?

Sidhani ... Kiranga nafikiri kati ya hao wote hakuna hata mmoja anayejua Klout ni kitu gani ... Le Grand Alexeihata mleta hoja hapa sidhani kama anajua ni nini!

http://klout.com/home

Klout | The Standard for Influence




klout-logo_enhanced-homepage.png

Discover and be recognized for how you influence the world.


Frequently Asked Questions

Klout Basics


  • What is Klout?
  • How can I use Klout?
  • What is influence?
  • What is the Klout Score?
  • How often does Klout update profile information?
  • What's the average Klout Score?
  • What do I need to do to improve my Klout Score?
  • How does adding new networks on Klout impact my Score?
  • What is a Brand Squad?


Klout Perks


  • What are Klout Perks?
  • Why do brands want to reward me with Perks?
  • How do you choose who gets Perks?
  • I meet the criteria displayed by the Perk, why am I being told that I'm ineligible?
  • Why does location matter for Perks?
  • Do I have to do anything if I accept a Perk?


 
Mkuu Le Grand, kwenye ile list yangu, January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in TZ ..., jamaa still stand on top of the list, juzi, jana na leo!, na sababu pekee iliyomuweka January at the top ni kuwa, wakati wanasiasa wengine, wakihangaika na takrima za kugawa fedha na shibe ya siku moja, yeye alijikita kwenye distribution ya communication tools, mobile zenye mtandao, kwa wananchi wa Bumbuli hivyo yuko on direct contact na wapiga kura wake, 24/7 via free sms, facebook na tweeter. Ili kumjustify Dr. Kigwa kuwa ndie top, tupatia justification how interactive he is?.
Pasco.
Mkuu Pasco, Sisi kwenye uchambuzi wetu tuliangalia vigezo nilivyoviweka hapo juu na kugundua kuwa Hamisi Kigwangala anatumia mitandao ya JF, Wanabidii, Mabadiliko na FB kwa uwazi zaidi kuliko mwanasiasa yeyote yule Tanzania kwa sasa maana yeye ana-engage kwenye mijadala kama sisi wa kawaida tu tunaotumia majina yetu bandia; pia anaanzisha mada zake, na huwa anaibuka kutoa majibu ya hoja mbali mbali. Ukimlinganisha na January Makamba utaona huyu anatumia zaidi mitandao ya twitter na facebook kupost na mara chache anatumia twitter kuji-engage kwenye mijadala. kwa kutumia neno interactive, utaona Kigwangala anajichanganya zaidi na watu wa kawaida zaidi ya Makamba.
 
Mkuu Pasco, Sisi kwenye uchambuzi wetu tuliangalia vigezo nilivyoviweka hapo juu na kugundua kuwa Hamisi Kigwangala anatumia mitandao ya JF, Wanabidii, Mabadiliko na FB kwa uwazi zaidi kuliko mwanasiasa yeyote yule Tanzania kwa sasa maana yeye ana-engage kwenye mijadala kama sisi wa kawaida tu tunaotumia majina yetu bandia; pia anaanzisha mada zake, na huwa anaibuka kutoa majibu ya hoja mbali mbali. Ukimlinganisha na January Makamba utaona huyu anatumia zaidi mitandao ya twitter na facebook kupost na mara chache anatumia twitter kuji-engage kwenye mijadala. kwa kutumia neno interactive, utaona Kigwangala anajichanganya zaidi na watu wa kawaida zaidi ya Makamba.
Milage ya January lies with sms to his people!. Amewanunulia simu za bure wananchi wake wote wa bumbuli na kulipia sms za bure, hivyo anaye interact zaidi ni anayewasiliana na watu wengi zaidi individually!, Ukishapost kwenye Wanabidii au Mabadiliko, jf, facebook na Tweeter ni groups, kwenye sms ni one on one, na akiwa na issue anatuma sms 1 kwa bundle, inakwenda kwa watu 20,000 at a go!. Ukipost Wanabidii au Mabadiliko, hakuna feedback wangapi wamesoma ukiondoa utakaojibishana nao, its rather one way traffic. Angalau ukipost jf, unaweza kuona hits!. Kuna watu wanafungua na hawasomi! na wengine ndio wanajibu, with sms, its 100% wote ujumbe unawafikia na wanasoma!.
Labda Kigwa nae amewapatia wananchi wa Nzega simu ila hajasema, but Top on the list genuinely bila upendeleo yuko JM and there he stays mpaka atakapotokea mwingine anae emply sms!.
Pasco
 
Back
Top Bottom