Katavi: Wanaume watakiwa kutembelea Watoto Vituo vya Yatima

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
Shirika la Nyumba (NHC) limepeleka moyo wa mawingu katika kituo cha watoto yatima kilichopo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ambapo limetoa zawadi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni mbili.

Afisa Habari wa Shirika hilo, Domina Rwemanyila amesema jukumu la kutoa zawadi kwa watoto walio katika vituo maalumu ni jukumu la jamii nzima kwani katika watoto hao wapo watakaokua wazazi na viongozi wa baadaye.

Mkuu wa Kituo hicho, sista Rozi Sungura amesema jumla ya watoto 32 wapo katika kituoni wakipatiwa malezi bora na kusimamiwa katika suala la elimu.

Aidha, Wanaume wameombwa kutotelekeza watoto wanaowapeleka katika vituo mbalimbali mara baada ya kufiwa na wenza wao.
 
Back
Top Bottom