Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Afisa Habari wa Shirika hilo, Domina Rwemanyila amesema jukumu la kutoa zawadi kwa watoto walio katika vituo maalumu ni jukumu la jamii nzima kwani katika watoto hao wapo watakaokua wazazi na viongozi wa baadaye.
Mkuu wa Kituo hicho, sista Rozi Sungura amesema jumla ya watoto 32 wapo katika kituoni wakipatiwa malezi bora na kusimamiwa katika suala la elimu.
Aidha, Wanaume wameombwa kutotelekeza watoto wanaowapeleka katika vituo mbalimbali mara baada ya kufiwa na wenza wao.