Anasoma shost!!
Hebu pata picha,katufundisha Form One na nilivyokutana nae ile juzi yupo vilevile hajazeeka wala nini.
Basi nilivyomuona nikajibaraguza kumsalimia.
Afu c unajua me na yeye tulikuwa na bifu tangu nasoma!
Basi nikamsalimie afu me Nshaaa..!!!
Akabaki katoa macho kama anatunga uzi gizani.