Mimi sitetei Ulawiti. Nakufundisha kuwa hao walaawiti hawajafunzwa na Kanisa Kulawiti. Ni dhamiri na matamanio Yao Binafsi. Sasa baba Yako akilala na wewe kingono ukoo wenu wote ulaumiwe?Wewe huna akili.Huwezi tetea Mambo yapo wazi kabisa,kiongozi wako mkuu sijui ndio Papa anaomba msamaha kwa matukio hayo wewe upo busy kujifanya unakana ,uwe na haya!
Wakatoliki wana utaratibu wa hovyo Sana Na sijui wafuasi wana akili gani
Ikifutwa ndo na wewe Mke wa mtu utaacha kuliwa hovyo na bodaboda?Rc ifutwe tu, dini gani hii? Kila siku kulawiti watoto wake za watu heeee!
Hivi unajielewa kweli mbna Kama unajiharishia au nawew nimhanga wa ulawitiRc ifutwe tu, dini gani hii? Kila siku kulawiti watoto wake za watu heeee!
Unafiki mtupu huu!!Mnadhalilisha huo ukristo Wenyewe unakosa thamani,mbona hatusikii KKKT au PENTECOSTE wakitenda haya?"Kwa ajili ya Mateso Makali ya Mwanao Mpenzi Yesu Kristo, Utuhurumie sisi na Dunia Nzima."
Kutokusikia hainaanishi hayapo.Unafiki mtupu huu!!Mnadhalilisha huo ukristo Wenyewe unakosa thamani,mbona hatusikii KKKT au PENTECOSTE wakitenda haya?
Hilo halinisumbui kabisaaa,wazae hata na nusu ya kabisa lakini sio kulawiti watoto....Maumivu yangu Ni kwa innocent souls wanaowalawiti,hebu fikiria Mungu kakupa mtoto wako wa kiume Yuko salama kabisa Ila Kuna kasisi anaamua tu kumfanya awe shoga....najisikia hata ukakasi kuzungumzia hii mada zaidi....Wanahitaji kuadhibiwa...uwe na jioni njemaKutokusikia hainaanishi hayapo.
Endapo hayapo ni jambo jema pia.
Umewahi bila shaka (na kama hujawahi, pekua huku JF) kusikia mchungaji Kuchukua Mke wa muumini, mchungaji kuwatia wanawake wengi mimba. N.k
Kila Anayevunja Sheria anapaswa Kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria hakika. Ndo maana hata mwalimu huyo ataadhibiwa pia. Si makasisi wote hulawiti. Ndo maana nikakukumbusha mfano wa mbegu Bora na Magugu alioutoa Yesu Kristo Bwana.Hilo halinisumbui kabisaaa,wazae hata na nusu ya kabisa lakini sio kulawiti watoto....Maumivu yangu Ni kwa innocent souls wanaowalawiti,hebu fikiria Mungu kakupa mtoto wako wa kiume Yuko salama kabisa Ila Kuna kasisi anaamua tu kumfanya awe shoga....najisikia hata ukakasi kuzungumzia hii mada zaidi....Wanahitaji kuadhibiwa...uwe na jioni njema
Hilo halinisumbui kabisaaa,wazae hata na nusu ya kabisa lakini sio kulawiti watoto....Maumivu yangu Ni kwa innocent souls wanaowalawiti,hebu fikiria Mungu kakupa mtoto wako wa kiume Yuko salama kabisa Ila Kuna kasisi anaamua tu kumfanya awe shoga....najisikia hata ukakasi kuzungumzia hii mada zaidi....Wanahitaji kuadhibiwa...uwe na jioni njema
Proudly Christian.Joannah, sorry!! are you muslim? Or Christian
Haya bwana.Kila Anayevunja Sheria anapaswa Kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria hakika. Ndo maana hata mwalimu huyo ataadhibiwa pia. Si makasisi wote hulawiti. Ndo maana nikakukumbusha mfano wa mbegu Bora na Magugu alioutoa Yesu Kristo Bwana.
Utakapobaini yeyote anakwenda kinyume Cha Sheria unapaswa kumshitaki bila kujali cheo, Imani, itikadi n.k.
kwani shetani ndo aliyemtuma!!?? kila Jambo wakusingiziwa ni shetani!! Unamjua shetani anakaa mtaa gani!?Shetani amekuja juu sana kipindi hiki, hadi makanisani na misikitini
Mkuu usishambulie dini shambulia yule baladhuli aliyefanya ufirauni ule, RC has nothing to do with thatUnafiki mtupu huu!!Mnadhalilisha huo ukristo Wenyewe unakosa thamani,mbona hatusikii KKKT au PENTECOSTE wakitenda haya?
Mkuu usishambulie dini shambulia yule baladhuli aliyefanya ufirauni ule, RC has nothing to do with that
Proudly Christian.