Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

Wakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.

Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.

Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.

Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.
 
KWANZA NIKUWEKE WAZI MIMI NI MKRISTO DAMU DAMU

HIZI TAKATAKA ZINGINE SIO ZA KUKAA KIMYA!!!!

KABLA SIJAKUJIBU SWALI LAKO EBU JIBU HILI KWANZA:

Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.

KWA NINI MWANDISHI WA HABARI KAANZA NA UTAMBULISHO WA NAFASI YA MWALIMU?
Kwani hujawahi ona waandishi wakiandika Afisa wa taasisi fulani let say TRA akamatwa kwa mauaji? Kutajwa nafasi ya kazi sidhani kama ni ishu here.

And so what kama wewe ni mkristu damu damu?
 
Hadi Sasa Nimepokea Sakramenti Zote Kama Mlei katika Kanisala Kristo Moja Takatifu Katoliki la Mitume La Kimisionari, sijawahi kufundishwa kulawiti Wala kuzini.
Nimezijua Amri za Mungu ningali mdogo.
Nitendapo Dhambi isihusianishwe na Mafundisho ya Imani Katoliki.

Huu ni ushahidi wangu. Nakushukuru Mungu wangu Kunijalia Imani Hii, Milele Siikani.
Unajua kinachotofautisha imani katoliki na pentecoste?
 
nasema hivi...SHERIA ya KUWAHASI ipitishwe....hakuna haja ya kuwafunga waendelee kula kodi zetu...AHASIWE...AJE MTAANI tuhangaike nae.....teha AHASIWE hadharani ili MABASHA tumtambue tumpatie MATIBABU...pambafu sana...
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.

Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.

"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.

"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.

Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
unakuta mtu hana demu, kutongoza hataki, hata kupiga nyeto hawezi anajifanya mlokole ila ndo wa kwanza kutamani misambwanda ya wadada za watu na wamama,

matokeo yake anakwenda kutolea nyege zake kwa watoto, akijua haitajulikana, kumbe dunia nayo haina siri anaishia kuumbuka na kujichimbia shimo mwenyewe.
 
Huyu nae katuabisha wakristo daaah, Katavi kuna machangu wengi alishindwa kuhonga kwani au domo zege khaaa
Wapo Malaya Fulani huhitaji hata kumpa salaam. Ukimkuta ghetoni kwake unatoa pesa bila hata kuuliza bei, analala kimendemeende (huwa hawavai chupi) unapakua mzigo fasta , unapandisha suruali (unavua viatu tu nguo huvui) na kusepa
 
1.sabuni kipande kikubwa jero
2.lotion kubwa ya Nivea buku 9,unatumia miezi miwili
3.mafuta ya baby care kopo kubwa haifiki buku 3
4.mbunye nzuri kabisa ni elfu kumi usiku mzima ukiichukua mida mibovu club
5.kasulu,kibondo na vijiji vingine unapewa mke kwa gunia saba za mahindi
#Kupanga ni kuchagua
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.

Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.

"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.

"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.

Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Kulikua na mwalimu mmoja wa Mafundisho pale Oyesterbay St Peter alikua kinara wa mambo hayo na sijui ni watoto wangapi walibakwa , kuna anaye jua alikwenda wapi?
 
Mambo ya aibu sana... kujificha katika kivuli cha dini. Mbaya sana. Wachukuliwe hatua.
 
Back
Top Bottom