Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Ametoa kauli hiyo wakati wa ziara iliyofanyika Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, jijini Dodoma ambapo pia aliongozana na Naibu Waziri Ayoub Mohamed Mahmoud ikiwa ni mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambapo Naibu Waziri na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala pia walipata nafasi ya kutoa neno.