Kataa picha za ngono

Kataa picha za ngono

BIG STONE AND CONER STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
480
Reaction score
819
Naamini kuna kitu Uliwahi Kujutia kufanya katika Maisha,

kuwa wazi tu nn ?

Kwa upande wangu.
when I was on the O level school , my Neighbor brother came in our room with laptop full of por. n..Graph
I watched it and later I continued to look for it

Najutia Hiyo ..Nilifanya makosa sana , na staki kuona Huo ni uchafu wenye Gereza kubwa sana

#Kataapicha za ngono ,n chafu, ni mbaya Hazina maadali zinadhalilisha Wanawake ..na jamii na kuchafua akilj yako.
I don't like it .
 
Naamini kuna kitu Uliwahi Kujutia kufanya katika Maisha,
kuwa wazi tu nn ?
Kwa upande wangu.
when I was on the O level school , my Neighbor brother came in our room with laptop full of por. n..Graph
I watched it and later I continued to look for it
Najutia Hiyo ..Nilifanya makosa sana , na staki kuona Huo ni uchafu wenye Gereza kubwa sana
#Kataapicha za ngono ,n chafu, ni mbaya Hazina maadali zinadhalilisha Wanawake ..na jamii na kuchafua akilj yako.
I don't like it .
Hongera kwa kujitambua mkuu
 
Sasa kama wanyama wanajamiana mbele yetu tunawaona na wanatusisimua nasi tufanye kitendo hicho, sembuse kuona binadamu wakijamiana kwenye picha! Wapi utaona binadamu wakijamiana hadharani kama wanyama wakati tendo hilo ni la faragha kwa binadamu kujamiana? Ni kwenye picha tu, pale kuna mafunzo ya namna ya kujamiana
 
Sasa kama wanyama wanajamiana mbele yetu tunawaona na wanatusisimua nasi tufanye kitendo hicho, sembuse kuona binadamu wakijamiana kwenye picha! Wapi utaona binadamu wakijamiana hadhasani kama wanyama wakati tendo hilo ni la faragha kwa binadamu kujamiana? Ni kwenye picha tu, pale kuna mafunzo ya namna ya kujamiana
Mkuu kwani wewe huwa unasisimka ukiona Wanyama wakifanya mapenzi😂
 
81A2B1C7-D48B-4870-994D-0DB2B43C496D.jpeg
 
Sasa kama wanyama wanajamiana mbele yetu tunawaona na wanatusisimua nasi tufanye kitendo hicho, sembuse kuona binadamu wakijamiana kwenye picha! Wapi utaona binadamu wakijamiana hadhasani kama wanyama wakati tendo hilo ni la faragha kwa binadamu kujamiana? Ni kwenye picha tu, pale kuna mafunzo ya namna ya kujamiana
Huwa unajifunza Nini kipya huko?
 
Naamini kuna kitu Uliwahi Kujutia kufanya katika Maisha,

kuwa wazi tu nn ?

Kwa upande wangu.
when I was on the O level school , my Neighbor brother came in our room with laptop full of por. n..Graph
I watched it and later I continued to look for it

Najutia Hiyo ..Nilifanya makosa sana , na staki kuona Huo ni uchafu wenye Gereza kubwa sana

#Kataapicha za ngono ,n chafu, ni mbaya Hazina maadali zinadhalilisha Wanawake ..na jamii na kuchafua akilj yako.
I don't like it .
sema nyeto zimekundesha ndio maana
 
Back
Top Bottom