Kataa picha za ngono

Kataa picha za ngono

Mtoa mada ushapiga nyeto umekimwaga kimoja, sasa hv upo kwenye hali ya tafakuri bc unailaumu porn Ila ukilala ukiamka Lazima urudi Kule kule 😂
 
Kwanini umetaja wanawake tu? Picha za ngono wanafanya wanawake tu?
Asilimia kubwa wanaume wanaficha sura wanawake wanafanywa kama kitu duni cha kuchezea kama mwendeshaji Atakavyo that not fair..is not good indeed above all wanafanya to kwasababu ya pesa hawapendi wengi wao jua hilo hawapendi ni shida tu.
 
Mateso makubwa. Mpiga nyeto ni rahisi hata kuharibikiwa maisha kwa sababu ya kupoteza kabisa kujiamini.
Hichi ndicho tunakitafuta
Unaonge kwa experience
Sio baadhi ya majinga, wanaamua kutoa majibu kwa kipuuzi
JF imevamiwa
 
Serikali hii imeamua kupambana na websites za ngono mpaka basi ila naona wanapoteza muda wajinga

Kuna wengine zinatusaidia kurefresh
 
Mtoa mada ushapiga nyeto umekimwaga kimoja, sasa hv upo kwenye hali ya tafakuri bc unailaumu porn Ila ukilala ukiamka Lazima urudi Kule kule 😂
si kweli Nimeacha long Time A go , na hata hapa nilipo nimekaa almost two weeks cjasx ,kwaajili majukum na nipo mbali na home so...
, Nikaona Upepo mchafu unataka kunirudia , kupooza shinikikizo nikaukataa nakuupigia uzi Kabisa so , pambana kwa vyovyote kushinda huo ujinga inaharbu nerves za Akili kama ckosei.
 
Back
Top Bottom