Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,154
- 43,173
Yale ni maigizo tu lakini wabongo huwa mnaona ni ukweliNaamini kuna kitu Uliwahi Kujutia kufanya katika Maisha,
kuwa wazi tu nn ?
Kwa upande wangu.
when I was on the O level school , my Neighbor brother came in our room with laptop full of por. n..Graph
I watched it and later I continued to look for it
Najutia Hiyo ..Nilifanya makosa sana , na staki kuona Huo ni uchafu wenye Gereza kubwa sana
#Kataapicha za ngono ,n chafu, ni mbaya Hazina maadali zinadhalilisha Wanawake ..na jamii na kuchafua akilj yako.
I don't like it .