Kassim Kayira wa BBC ahamia Azam Media

Kassim Kayira wa BBC ahamia Azam Media

Akihamia Ufo saro na John Maraaaatu bila kumsahau Juma ngondae mnistue, upande wa documentary wamchukue Veterani Tumbo Risasi wa RTD
 

Attachments

  • 1443868909461.jpg
    1443868909461.jpg
    15.4 KB · Views: 329
Ni kweli wako vizuri lakini bado wanakosa watu wa content hasa suala la news,vipindi na documentaries.

Azam wamewekeza sana katika suala la 'watangazaji' lakini issue ni je watatangaza nini? kinachouza kituo siyo watangazaji bali kinachotangazwa.

Aljazeera English ilipoanzishwa walichukua watu wengi kutoka CNN,BBC ,PRES TV nk lakini hawakuchukua watangazaji wengi bali 'wazalishaji wa content''.

Tangu kuanza kwa AZAM TV ni habari gani kubwa waliyowahi kuibua au ni kipindi gani cha nje (nje ya studio) kinachowauza mbali na kipindi cha Uchaguzi?'

Nafikiri nguvu kubwa wangewekeza katika suala la content badala ya kutafuta watangazaji maarufu duniani.

Tido alipoingarisha TBC hakuwa na watagazaji wapya au maarufu bali aliwekeza katika suala la content.

M.Byabato
Tv Journalist
Mawazo mazuri mkuu
 
KAUMZA; Huu ni uwongo uliopitiliza kassim kayilla jana akiwa na idd seif waliaga kustaafu uandishi wa habari.


Idd seif namnukuu naenda uganda kuendeleza miradi yangu niliyokuwa nayo..pia kuwatumikia wanainchi walionituma huku.


kassim kayilla namnukuu nami.nitarudi uganda kwani napenda sana kilimo hasa ufugaji hivyo nitarudi uganda kufanya kuwa mkulima...


SASA wapi alisema anaenda Azam Tv? acheni kuyafuta cheap popularity kwa kiongea uongo.


by bampami
Mkuu Bampami, huo si uzushi. Soma Gazeti la Mwananchi la trh 02.10.2015 siku ya ijumaa.

Ataanza kazi rasmi trh 15.10.2015..

Lakini pia Ali Saleh ambaye ni mkuu wa idhaa ya Kiswahili ya BBC anatua Azam Media.

Alichokisema BBC nilikisikia pia

Wait, you will see
 
Last edited by a moderator:
Azam wapo vizuri,jana mshkaji baada ya dira ya dunia saa 21:30 hrs aliaga rasmi na ndio ilikuwa taarifa yake ya mwisho kusoma akiwa BBC
 
pia wavuke boda waingie upande wa pili wa kenya,wamsajili mwanahabari machachari wa habari za uchunguzi,Mohammed Ali.awe ana report toka kenya ila content zake ziandaliwe na uhai production na kurushwa na azam tv.itakuwa babkubwa sana.
 
Amehamia au kaajiriwa baada ya muda wake wakuitumikia BBC swahili ku-expire ?!
 
Wivu wa maendeleo mbna ni kitu cha kawaida ndugu..ni ukweli kuwa bbc wako vizuri so sio vibaya kutaka kuwa kama wao.!!
hawajatimia kwa namna ambavyo unafikiria wewe na ndo man tunaona key presenter wake wakihama kuja chamanzi
 
pia wavuke boda waingie upande wa pili wa kenya,wamsajili mwanahabari machachari wa habari za uchunguzi,Mohammed Ali.awe ana report toka kenya ila content zake ziandaliwe na uhai production na kurushwa na azam tv.itakuwa babkubwa sana.
Mohamed Ali ni kiboko. Tena kiboko kweli kweli. Siku moja nilikuwa ninamueleza shemeji yenu kama ningekuwa nina miliki kituo cha runinga watangazaji wa kwanza kabisa kuwaajiri ni Mohamed Ali wa KTN, na wana dada Kanze Dena na Lulu Hassan wa Citizen TV ya Kenya.
 
Mkuu Azam wanajua wanachokifanya,sio kama Itv wanaoishi kimazoea.

Baada ya muda sio mrefu utashangaa Azam TV ndio inayoongoza EAC kwa coverage na habari moto moto.

kama haitamwezesha maskini kuzipata habari, bado tutawaheshim wanaojali maskini
 
JAMAN LULU HASSAN she's realy a pearl azam wakimchukua huyo ntawaaminia..
 
Ni kweli wako vizuri lakini bado wanakosa watu wa content hasa suala la news,vipindi na documentaries.

Azam wamewekeza sana katika suala la 'watangazaji' lakini issue ni je watatangaza nini? kinachouza kituo siyo watangazaji bali kinachotangazwa.

Aljazeera English ilipoanzishwa walichukua watu wengi kutoka CNN,BBC ,PRES TV nk lakini hawakuchukua watangazaji wengi bali 'wazalishaji wa content''.

Tangu kuanza kwa AZAM TV ni habari gani kubwa waliyowahi kuibua au ni kipindi gani cha nje (nje ya studio) kinachowauza mbali na kipindi cha Uchaguzi?'

Nafikiri nguvu kubwa wangewekeza katika suala la content badala ya kutafuta watangazaji maarufu duniani.

Tido alipoingarisha TBC hakuwa na watagazaji wapya au maarufu bali aliwekeza katika suala la content.

M.Byabato
Tv Journalist
Mkuu wakuchukue na wewe tu aisee unaweza sana. Ukatuwekee content za maana.
 
Wana Jf Salaam kwenu!

Hakika nimeamini maneno ya Mwenyekiti wa Makampuni ya Azam Group kuwa anataka kuifanya Azam Media kuwa "BBC ya Afrika"

Baada ya kufungua studio kubwa na ya kisasa kabisa na kufanya usajili wa nguvu kwa kuwachukua nguli ktk tasnia ya habari kama Tido Mhando, Charles Hilary, Baruani Mhuza na sasa Kassimu Kaila.

Ni wazi kuwa Azam Media imekuja kuleta Mapinduzi katika sekta ya habari nchini.

Hongera sana
Mtendee haki, anaitwa Kassim Kayira. Rekebisha title.
 
Back
Top Bottom