idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,300
- 38,450
Mkuu Azam wanajua wanachokifanya,sio kama Itv wanaoishi kimazoea.kama bado hawapatikani kwenye vingamzi vingine, bado itv atakuwa super brand
Baada ya muda sio mrefu utashangaa Azam TV ndio inayoongoza EAC kwa coverage na habari moto moto.