Kasindee Kasindee Kasindee....hovyooooo!!!

Kasindee Kasindee Kasindee....hovyooooo!!!

Yaani kuna watu wanaboa jamani, nilikuwa na week end yangu murua pande za Lushoto nilikuwa kwenye kiota flani hv. Nilitoka kazini ijumaa muda wa lunch nikakanyaga wese mdogo mdogo nikafika mombo kwenye saa 3. Nikaagizia mbuzi nikawa nakula taratibu kwenye meza nilikaa na watu mara bin vuu nikasikia mbaba mmoja aliyekuwa anapiga debe chai ya maziwa, rangi, kahawa, ya viungo na blah blah akaanza kuita kwanguvu Kasinde Kasinde Kasindee huku akiangalia huku na huku kuona kama ataitika mtu. Nilisikia ila nami nikaangaza kuangalia kama kuna Kasinde mwingine. Alipoona hakuna anayeitikia akanyamaza.
Nikawaza badae nikajua yule mbaba muuza chai alitumwa na mtu, aliniboa kwakweli maana kama mtu umeniona mahali na unataka kunisalimia si unifate tuu na kunisalimia kistaarabu kuliko kuniita kwa kupayuka hivo.
Wakati nakula yaliingia magari mengi mengi hivo pia watu walikuwa wengi. Nsharudi zangu home kesho ofcn another week end kula ujana tena. Ila hii tabia si nzuri looh

Hahahahaaa
 
hata mi nilimmiss. halafu sijui kwann huwa nasahau uwepo wake hadi anapopost threads. Kasinde mpenz endelea kutukumbusha kumbusha.

pamoja sana rafiki, nipoo nikiadimika ujue nazichanga na zikikaa sawa ndo natokea kuzitumia
 
Ulichelewa toka lunchtime mpk saa 3 Foleni eee........:A S 109:

Ni kuwa sikuandika word by word, nilitoka ofcn posta saa nane mchana baada ya lunch hours, nilianza safari ya kuelekea ubungo, ujenzi wa strabag unaishia Kimara na foleni ya Dar unaifahamu. Hadi kufika chalinze ilikuwa jioni as nilikuwa naendesha speed 60 hadi 70 sikuvuka hapo kwasababu ya umakini barabarani na kupishana na malori. Kumbuka mwezi huu umegubikwa na ajali nyingi za barabarani hivo hilo nalo lilikuwa akilini wakati naendesha. Sikuwa na haraka ya kuwahi kunyonyesha au kumbuka driving was part of enjoyment ya weekend.
 
Kasinde nikidhani umeacha upopo...kumbe yule mkuu hakukushika ukashikamana!!!!
Anyway, hata mie napenda trips za hivo..we live once..!

Daktari wangu nae anakula ujana si unajua wacha kabisa shamba tunaenda pamoja nani abaki nyumbani, kama ni kulima tunalima wote, kuvuna tunavuna wote, na bakshishi tunapeana na daktari,

ila usiwe unafokonyoa sana mie nipo poa tuu
 
Hahahahaaa




nnwahii uhu mwetua vuzo...o


sie mia ziambuzi zeokwa haja zitatama
A%20S%20wink.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom