amerud muda mbona wew nawe khaaa ..... vip hali
Nipo rafiki majukumu tuu na ujana tunapambana nao..
sikujua, huku safi habari za pande hizo?
salama tu ndugu uwe unalala nawew khaaa umeanza lini kukesha
Upo Kijana Mwenzangu?
lakini kuko na baridi sana kule duu lushoto kuzurije
hello sisy za siku nyingi.
Nimepoteza simu mwaya.
Hahahaha kumbe lushoto kila nchi ipo?
Ntu nzungu bana!!!!
mkuu mombo ipi uliyokua unasimulia?? na ulikua unatokea sumba wanga au mtwara?
Njema nimekuketea kabich from Lushoto, meambiwa umeanza diet ya supu ya kabich...!!
Matunda sikubeba nibebe ya nini wakati ....
Avatar ina asilimia kubwa like real Kasie, kwa usiku ule huyo mtu ananijua nje ya JF haina tabu, shida ni kupayuka si anifate tuu nilipokaa
Hahahahaaa jamani mangatara mbona Kasie mie nipo kawaida sana, basi tuu nainjoi kustarehe with ME, MYSELF & I. Usiote bana umesahau Kasie ni popo mla ujana??!