Kasinde umetoka lini ng'ambo?
Kasinde ni bishoo. Inaelekea wew ndo wa kwanza kumiliki gari ukoo mzima. Story zako huachi kuhadithia kibaby walker chako.
du kweli wewe@kasinde, aya mama, hongera sana, wacha niendelee kusikiliza wimbo wa john legend all of me.
Haswaaa nilipanda hadi kule nikapiga lunch, enjoy mwaya once u have time and u r healthier we live once ooohwkend lushoto.....ulienda mpaka kule juu kwenye hotel ya mkapa....?....dah nimeimiss lushoto....hakika nitarudi mana niliyafurahia mazingira....
Kama hajaja kukusumbua basi ujue kuna Kasinde mwingine
Kasindee;
Duh! Yu are expensive jamani, Dah! Week end Lushoto or was it Lusoto! So far from Dar? Weye ndo mwenyewe, tena mtoto upo peke yako kwenye ki box chako, na musiki muruwaaaa.
We, nyamaza usilete balaa hapa. Kumbe namuota Kasindee