Kasi ya Mnyika yamtisha JK

kama raisi hajui tatizo la maji dar miaka 8 ya kukaa magogoni atajuaje matatizo ya mikoani? "sijui ni kwanini nchi yangu maskini" kweli kazi ipo!
 
shida ni upeo wa kuelewa mambo ndugu unaweza kuwa hata ni profesa kwa kisomo lakini bado hoja zikawa zinapita juu ya nywele au upara wako tu. I see nothing wrong in the title.
 
Kilichonifurahisha ni ile power ya wanachadema kucontrol event swafii sana MACCM wasidhani nchi yao peke yao
 
Hii ni mfano tosha kwa Mhe.Nauye kwamba, Mnyika ni zaidi ya alivyokuwa anamfikiria,yani ni kimbunga.
 
katika swala hili nikiwa kama mdau wa mkoa wa dar es salaam,nawashukuru sana mheshimiwa Mnyika na rais Kikwete kwa kuweka siasa kando na kujali matatizo ya wananchi.Natamani hali hii iendelee.Nimefurahishwa sana na tukio hili lakini naomba isiwe lazima mpaka watu waandamane ndio wasikilizwe.hayo aliyoyasema mheshimiwa Rais tunakuomba mbunge wetu Mnyika uhakikishe yanatekelezwa maana rais kashakuambia tatizo sio yeye,ila ni hawa mabosi vitambi wetu hapa katikati ya wananchi na serikali.Tunataka hili bomba lijengwe na tunataka kusikia kuna mipango gani kutatua tatizo la maji,niongezee na UMEME.Watuambie walipofikia ktk kutekeleza mipango ya umeme maana tayari ilishakuwepo.
 
Wabunge wa CCM kwa kushirikiana na naibu spika waliihujumu hoja ya John Mnyika lakini wananchi wameonyesha kutoyumba, wameendelea kumuunga mkono na sasa raisi wa nchi ametambua hali halisi na kuingilia kati ili kutatua tatizo la maji.
Masnitch wote waliokuwa wanambeza Mnyika sasahivi vichwa chini kama vile wameshikwa ugoni.
get ma like
 
M23 na Songoro, mambo mengine hata kama umevuta cha juu bora ukae pembeni ukijifanya hujaona kulikoni mnavyoonekana kituko mbele ya watanzania waliochoshwa na tatizo la maji jijini....Hivi mnafikiri wana CCM hawana matatizo ya maji? Nilifikiri watanzania kama watanzania wawe na akiri za kuaddress matatizo yao na kuweka ushabiki pembeni. Shame on you wafuasi mfu wa chama mfu...
 
matatizo ya maji yanapo sababishwa na wakazi wenyewe wa Dar es Salaam hamsemi,Tatizo Dar ime kusanya watu wa kila aina,lakini mkusanyiko huu siyo hoja msingi ila la msingi hapa nijinsi gani maji mengi yana potea Dar es Salaam na wakazi wake wana kaa kimiya hawataki hata kutoa taarifa katika mamlaka zinazo husikika,ukipita Dsm leo hii kila sehemu ambayo kuna majosho ya magri kuna bomba lime pasuka lakini wakazi wa DSM mmekaa kimiya,maji yana ibiwa mawajua wezi lakini mme kaa kimiya leo hii mana mlalamikia nani? acheni kulala mika pasipo sababu wananchi wa DSM.ninyi nyote mna husika katika hili hapa Tanzania kuna vijiji vidogo mmno lakini vinajua jinsi ya kulinda maji kuliko hata nyie mliopo Dsm mnao jiita wasomi na watu mao ishi kisasa kumbe vichwani mwenu kume jaa maji matupu.
 
Ninge furahi sana kama nita weza kupata mikakati iliyo ainishwa na Mbunge J.mnyika pia mimi ninalo ombi moja kwa mnyika pamoja na mikakati hiyo aliyo nayo naomba ajitahidi kufanya kampeni ya kuzuia uwizi kwanza wa maji pia kuwa elimisha wananchi juu ya kutoa taarifa kuhusiana na maenoneo yote ambayo mabomba yake yame pasuka na maeneo hayo kuwa ni sehemu za majosho ya magari.Pia jamani ebu tuondokane ni hii dhana ya kuagiza bila kufuatilia.Ila nakupongeza Mhe.mnyika fuatilia hili mpaka tupate utekelezaji wake
 
katika swala hili nikiwa kama mdau wa mkoa wa dar es salaam,nawashukuru sana mheshimiwa Mnyika na rais Kikwete kwa kuweka siasa kando na kujali matatizo ya wananchi.Natamani hali hii iendelee.Nimefurahishwa sana na tukio hili lakini naomba isiwe lazima mpaka watu waandamane ndio wasikilizwe.hayo aliyoyasema mheshimiwa Rais tunakuomba mbunge wetu Mnyika uhakikishe yanatekelezwa maana rais kashakuambia tatizo sio yeye,ila ni hawa mabosi vitambi wetu hapa katikati ya wananchi na serikali.Tunataka hili bomba lijengwe na tunataka kusikia kuna mipango gani kutatua tatizo la maji,niongezee na UMEME.Watuambie walipofikia ktk kutekeleza mipango ya umeme maana tayari ilishakuwepo.

Ndugu yangu unajua maana ya 'siasa'? Hapa ndio siasa zimefanya kazi na kuleta matunda kama haya. Ukiweka siasa kanda basi tutaendelea na 'business as usual'. Mhe JK yuko madarakani miaka minane na sio kwamba serikali iko Dodoma, iko hapa hapa Dar lakini inaelekea ndio kwanza anajua tatizo sugu la maji kwa wakaazi wa Dar. Sasa hapo bila kufanya siasa - kupiga kelele, kushinikiza, kutukana ikibidi, kuandamana, kugomo (kama unavyoona huu mgomo baridi wa walimu na 80% ya division 0), nk - hakuna kinachoweza kueleweka. Tunapanga kuendelea na siasa hadi haki itendeke kwa raia wote. Hadi Mhe JK ajue kwa nini Tanzania ni nchi masikini. Alikwenda Ikulu kwa hiari yake, hakuna aliyemlazimisha. Akitimiza wajibu wake basi hapo tunakunywa kahawa na kucheza bao kwa kicheko na furaha!!
 
Back
Top Bottom