saronga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 909
- 218
CHADEMA innatishia uhai wa CCM, na kwa kuthibitisha hilo tunangoja kwa hamu uchaguzi wa madiwani Arusha,ubunge Igunga na Sumbawanga
Bila kusahahu jimbo la Bahi, manake yule mla rushwa sidhani kama atapona, labda maccm yatumie mabavu kuyumbisha ile kesi