The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 596
ungebadili title pale kwenye mnyika ukaweka jk na kwa jk ukaweka mnyika ningejua umemaliza japo form two
Kwani hilo gazeti la Mtanzania linatoka siku gani na siku gani ? Nataka nilione ili nimuulize huyo mwandishi wa habari ile " Mnyika amemtisha vip JK " ? Nimeisoma habari nzima sijaiona mahali alipotishwa kwa kasi yoyoooote !