Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Mkuu sijakusoma kabisa.mpana??na wewe mpana!
Mkuu sijakusoma kabisa.mpana??na wewe mpana!
nataka kuelewa kilicho sababisha wewe kuchukua uamuzi huo.seriouly!this is not about me,kwan hata na ww hujanielewa point yangu mpaka uniulize na maswali yote hayo?
Hahahahaaa..NotedSo you speak a latino language? chuna kwanza...
nataka kuelewa kilicho sababisha wewe kuchukua uamuzi huo.
Umeonaeee! Mkuu Kalou changamkia hii mutoto piga fasta.Mwali, kusikia tu yuko single tayari umeshafika huko...mwe!!
lengo halikukamilika basi. all you have achieved is to raise more questions now...
kwa nini huna mewnzako? mara ya mwisho kuachana na mpenzio mlikosana nini?
breakup process ilianza kwa kutokana na sim? ulisoma message? au yeye alisoma?
Kwa nini uliamua kutoangalia sim ya mpenzio (ukimpata) na yeye asiangalie yako?
Umeonaeee! Mkuu Kalou changamkia hii mutoto piga fasta.
Mie naona kawaida tu cause binafsi simu yangu hua iko silent most of the time! Hua sipendi kudraw people's attention na makelele ya simu kama radio..
what abt ur patner,hamaindi cmu yako iko kwenye SILENT most of the time?
Kwa nini uko single sasa hivi?
Mimi sipendi makelele so Simu zangu ziko silent all the time, hata niliingia meeting n church sipati shida ya kufunga simu.
Shida ni kureturn calls ambazo umezimiss!
Kwa nini uko single sasa hivi?
Mimi sipendi makelele so Simu zangu ziko silent all the time, hata niliingia meeting n church sipati shida ya kufunga simu.
Shida ni kureturn calls ambazo umezimiss!