we una akili kweli mambo aloyafanya kapuya na aloyafanya mbowe yanaendana kwel?? wewe umefanya uzinzi mara ngap hakuna kiongoz asiyefanya uzinzi ukitaka ujue haya nenda club maisha dodoma kipind cha bunge lakin huo uzinzi umefanya na nani?? we hujawahi fanya uzinzi mbona kijana unafikiria kutumia makalio KAPUYA SIO MZINZI NI KIBAKA.
Sure mkuu. Hivi ni nani anaweza kumfanya Mbowe kuwa ni kioo?uongozi ni kioo cha jamii
suala la maisha ya viongozi sio binafsi kamwe, kiongozi anapaswa kuwa msafi na kuonekana Kuwa msafi...sio binafsi kamwe....
Mkuu chausikukitamu, ​unajuaje kama mke wake amekaa kimya?wewe sema unamuhitaji??? Coz naona lnakuuma wewe kuliko hata mkewe ,sasa tukueleweje wewe?mkewe yupo kimyaaaaa! Wewe huku unawashwaaaaaa,, sema mkuu funguka.
Halafu mbona CLINTON hakubaki salama kwa uzinzi wake!!! hivi ni kweli hizi bangi za TUNDU LISU zimeshindwa kukumbusha kuw CLINTON alifanyiwa IMPEACHMENT ?????!!!!!
Unajua wakati mwingine mbakaji na Mbakwaji kuna wakati hisia za ubinadamu zinawajia na wote hufurahia tendo la ubakaji na ubakwaji hasa kama ubakaji huo unafanyika kitandani kwenye majumba ya kifahari yenye kila aina ya uturi
Yaani hata viongozi wa upinzania tunaowategemea waibane serikali kila kona kwenye maadili ,matumizi na utekelezaji nao hawatosheki na wake zao? maana yake hawatatosheka na mishahara yao nao pia watapokea rushwa kwa ukubwa wa familia zao na majukumu.Je tutafika.
Mkuu, hata huu uzi tunaojadili sasa umetoka Global Publishers. Sasa utapima mwenyewe kama ni udaku au la. Lissu yupo na kama huamini mpigie akufafanulieGlobal publisher si ndio wadaku wa kutupwa kama gazeti la uhuru wewe mama?
Clinton alikuwa impeached, Mandela alichapiwa kwa hiyo hakufanya jambo la kipuuzi kama alilofanya Mbowe.
Kama katiba ya CDM inatilia mkazo famili kama ndiyo kiini cha utawala (conservatives pillar) basi waonyeshe mfano na siyo kuweka vifungu kwenye katiba yao ili wapte wafadhili ilhali ni chma cha wasiooa na waasherati.
Tundu Lissu amejishusha.
Allegedly physical abuse, akaiondoa kesi mahakamani. Mandela akairudisha, yeye ndiye aliyemuacha mkewe.ipi?............
Nakubaliana kabisa na Tundu Lissu.
Mambo binafsi ni mambo binafsi na hayana uhusiano wa moja kwa moja na uwezo wa kuongoza.
Clinton alikuwa impeached,
Mandela alichapiwa kwa hiyo hakufanya jambo la kipuuzi kama alilofanya
Mbowe.
Kama katiba ya CDM inatilia mkazo famili kama ndiyo kiini cha utawala
(conservatives pillar) basi waonyeshe mfano na siyo kuweka vifungu
kwenye katiba yao ili wapte wafadhili ilhali ni chma cha wasiooa na
waasherati.
Tundu Lissu amejishusha.
wee Kubwa Jinga tulia wewe, dola umpe nani wewe, FYI dola tunaichukua jombaa, hutupi! kanyoe mvi hizo ulale.
Ndoa siyo jambo binafsi.
mkuu acha uwongo. clinton hakuwa impeached alikiri skandali hiyo kitu ambacho ni sharti la kutofanya impeachment. aliyefanyiwa impeachment alikuwa r. nixon
Kwa sababu ni mkataba baina ya mume, mke na jamii waliyopo.
Ndoa is public, ni mkataba unaotakiwa uwe published in public records.
There's always a public interest in any marriage .... a wedding can be private.