Kashfa ya SAKATEL vs TTCL

NINI Kifanyike kwa mambo kama haya ili YAISHE?


  • Total voters
    59
Kwa mtindo huo hao mawaziri wana lifetime salary kutoka airtell yani wanalipwa kulingana na ukuadi waliofanya, time yao imefika vyuma kweli vitakaza kwao kweli kweli
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kunawakati ambao unajiuliza hao viongozi walikuwa wanawaza kwa kutumia kichwa kwel? Hao viogozi wanapaswa wajisalimishe wenyewe kituo chochote cha police,

Maana ni aibu wao kuendelea kuwa mtaani,

Asante jpm hyu ndye mzalendo wa kwel kwa sasa....
 
JESUS! inawezekana, TTCL waliingia mkataba na kampuni ya kichina iitwayo huwaei technologies, wajengewe minara ya mawasialiano, wale wachina waliniambia kuwa TTCL hawataki kutekeleza ule mkataba, bali wamezuiwa na wakubwa fulani, nikijumlisha hii habari hapo juu na hili la wachina napata jawabu

kuna watu itabidi wanyongwe ili haki itendeke, wanaotajwa hapo juu ni chenge wakati huo mwansheria mkuu, mwandosya, na mramba
Huwaei waliletwa na mama Mkapa ilikuwa Dili lake na mwandosya ndiyo alitia sahihi mikataba yote, hiyo kampuni ya kichina ilipiga pesa ndefu lakini pesa nyingi ilisalia kwa Wajanja wa 10% uchunguzi bila kumhoji mkapa hautakuwa uchaguzi bali porojo tupu.
 
Mhhh nchi ilikuwa inaliwa hii jamani. Rais kaza buti kundi la wachache wezi walliishi kifalme na familia zao duh kamata wezi majambazi
 
Kunawakati ambao unajiuliza hao viongozi walikuwa wanawaza kwa kutumia kichwa kwel? Hao viogozi wanapaswa wajisalimishe wenyewe kituo chochote cha police,

Maana ni aibu wao kuendelea kuwa mtaani,

Asante jpm hyu ndye mzalendo wa kwel kwa sasa....
Tenda ya kuibinafsha TTCL ilikuwa ya mkapa, Dili na tenda nyingi ikiwemo kuwale wachina wa Huwaei ilikuwa ya mama Ana mkapa huku mikataba yote ikisainiwa na Mwandosya kwa Amri toka juu kwa mkapa.
 
Mwandosia huwa anasemaga amesahaulika na utawala wa JK lakini bora aendeleee tu kusahaulika maana jaama alichofanya ni zaidi ya hujMA KWA TAIFA
Afu leo jamaa wakipigsa kitanzi utasikia..ooh kwa sababu anapingana na Magu.
Hawa wazee wameiua sana nchi hii.
Dah! hadi aibu kusema.
 
Kuna makaburi humu yakifukuliwa unaweza kubaki mdomo wazi.
Yafukuliwe tu.
Yataamsha hisia za kweli za uzalendo na uanamapinduzi.
Hali haiwezi achwa kama ilivyo.
Bring back our nationalism and patriotism
 
Jamaa wanatupatia sana yaani hivi sasa maongezi TTCL, hivi hizi marathon tunaishia njiani tu hatumalizi. natoka kidogo nje ya topic, hivi ile report ya siku saba kuhusu magari yale 50 sijui imetoka? na zile gari za polisi? na yale matrailer vipi. na wale makinika sijui hivi walilipa na yule macontainer bado yako au? maana naona kama tunaenda speed sana hatumalizi au hatuhabarishwi vizuri. maana ukiliweka jambo katika media basi limalizie katika media...
 
Ninachojua Hits ndiyo Halotel
Halotel ni kampuni ya kikwete sidhani kama Halotel wana uhusiano na TTCL vinginevyo labda kuwa na njama za Halotel kununua Airtel ili iwe ya tatu kwa ukubwa baada ya Voda na tigo.
 
Tenda ya kuibinafsha TTCL ilikuwa ya mkapa, Dili na tenda nyingi ikiwemo kuwale wachina wa Huwaei ilikuwa ya mama Ana mkapa huku mikataba yote ikisainiwa na Mwandosya kwa Amri toka juu kwa mkapa.
Ushuzi..
Ni wakati wa kuwashughulikia wahusika wote.
 
Halotel ni kampuni ya kikwete sidhani kama Halotel wana uhusiano na TTCL vinginevyo labda kuwa na njama za Halotel kununua Airtel ili iwe ya tatu kwa ukubwa baada ya Voda na tigo.
Nimesoma post ya urambo tabora inasema Saskatel wakawa wanaihujumu TTCL ili waiimarishe Hits. Na wamekusanya billions ambazo hazipo kwenye akaunti ya TTCL.
 
Yafukuliwe tu.
Yataamsha hisia za kweli za uzalendo na uanamapinduzi.
Hali haiwezi achwa kama ilivyo.
Bring back our nationalism and patriotism
Lipo kaburi kubwa la kiwanda hewa kule Lindi, ni kaburi kubwa likifukuliwa kule keko kutajaa wafungwa, kuna zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, ununuzi wa kivuko feki hizo kaburi zikifukuliwa uchaguzi wa Tanzania utarejewa upya kwani Mtukufu malaika toka chato lazima atakwenda keko.
 
Tundu Lissu na genge lake watapinga hatua hizi watawashawishi wazungu wakashtaki mahakamani.


Hebu kuwa serious ndugu katika mambo nyeti kama haya. Kufanya mizaha kama hii ni kurudisha nyuma.jitihada za wengine pasi na umuhimu wowote ule.
 
Lipo kaburi kubwa la kiwanda hewa kule Lindi, ni kaburi kubwa likifukuliwa kule keko kutajaa wafungwa, kuna zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, ununuzi wa kivuko feki hizo kaburi zikifukuliwa uchaguzi wa Tanzania utarejewa upya kwani Mtukufu malaika toka chato lazima atakwenda keko.
Hatari sana!
 
Magu
JESUS! inawezekana, TTCL waliingia mkataba na kampuni ya kichina iitwayo huwaei technologies, wajengewe minara ya mawasialiano, wale wachina waliniambia kuwa TTCL hawataki kutekeleza ule mkataba, bali wamezuiwa na wakubwa fulani, nikijumlisha hii habari hapo juu na hili la wachina napata jawabu

kuna watu itabidi wanyongwe ili haki itendeke, wanaotajwa hapo juu ni chenge wakati huo mwansheria mkuu, mwandosya, na mramba
Magufuli shugulika nanmajizi hayo
 
Back
Top Bottom