pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
Wakuu,
Wafanyabiashara Mkoa wa Mbeya na Songwe wailalamikia ofisi ya RAS Songwe na moja kwa moja wanamtupia lawama Katibu Tawala Mkoa huo Kafulila kwamba amekuwa akiwaomba Rushwa endapo ukikataa basi kama ulikuwa mzabuni unanyang’anywa tenda.
Inadaiwa hivi Karibuni, Serikali walitangaza Zabuni kusambaza Dawa katika Mikoa mbalimbali nchini mbadala wa MSD na Zabuni ikashindanishwa Team ya wataalam kutoka Tamisemi pamoja Mkoa wa Songwe ikawapitisha washindi.
Lakini baada ya mwaka 1, Bwana Kafulila ameanza kuwatisha wafanyabiashara walioshinda na kuomba rushwa ili kutositisha mkataba ambao huchukua miaka 3
Inadaiwa kwamba Kafulila amegombana na Team ya wataalamu akiwepo Mfamasia na baadhi ya wajumbe na amekuwa akishirikiana na Katibu wa Afya Mkoa Dada Hobokela.
Kuna madai kuwa RAS amepewa kiasi cha Fedha kutoka kwa Mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Babito anayemiliki hotel za Beaco jijijni Mbeya, amekuwa akifukuza watumishi na wengine kuwahamisha kinyume cha utaratibu.
TAKUKURU fanyieni kazi habari hizi ili ukweli ujulikane.
Wafanyabiashara Mkoa wa Mbeya na Songwe wailalamikia ofisi ya RAS Songwe na moja kwa moja wanamtupia lawama Katibu Tawala Mkoa huo Kafulila kwamba amekuwa akiwaomba Rushwa endapo ukikataa basi kama ulikuwa mzabuni unanyang’anywa tenda.
Inadaiwa hivi Karibuni, Serikali walitangaza Zabuni kusambaza Dawa katika Mikoa mbalimbali nchini mbadala wa MSD na Zabuni ikashindanishwa Team ya wataalam kutoka Tamisemi pamoja Mkoa wa Songwe ikawapitisha washindi.
Lakini baada ya mwaka 1, Bwana Kafulila ameanza kuwatisha wafanyabiashara walioshinda na kuomba rushwa ili kutositisha mkataba ambao huchukua miaka 3
Inadaiwa kwamba Kafulila amegombana na Team ya wataalamu akiwepo Mfamasia na baadhi ya wajumbe na amekuwa akishirikiana na Katibu wa Afya Mkoa Dada Hobokela.
Kuna madai kuwa RAS amepewa kiasi cha Fedha kutoka kwa Mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Babito anayemiliki hotel za Beaco jijijni Mbeya, amekuwa akifukuza watumishi na wengine kuwahamisha kinyume cha utaratibu.
TAKUKURU fanyieni kazi habari hizi ili ukweli ujulikane.