Ridhwani !
Ridhwani !
Everything Riz !
Tubadilishieni mwimbo mwengine mpya huo tushauchoka !
Mstari wa mwisho;wana ccm wenye wake wazuri walikuwa na hofu,kidogo ubunge wa kuteuliwa,kama ana wowowo utashtuka tu kapewa udc!Kiukweli wanaume walikuwa wanasononeka mioyoni,walau sasa wana amani!
Wewe ni me au ke??? Labda tuanzie hapoBado mnaendelea tu kumsakama huyu jamaa na familia yake??? Uzuri wake hata JPM anajua kwanini mnamsakama JK,, kosa lake ni yale majina ya mfukoni,,, kukatwa kwa bwana wenu ndio kunaleta yote haya kila kukicha,, leo x-mass tu kuna thread tatu humu zote anasakamwa JK na familia yake... JK ATABAKI KUWA MWANAUME WA 2015..
Mnapoteza nguvu za bure mwacheni mzee wa watu apumzike.hakuna ushahidi na hata ukipatikana hakuna bado ana kinga
peleka ushahidiKwanini haelezi uhusiano wake na kampuni ya nsagali inayomiliki ginnery na jengo la crdb pale bariadi.kunavitu hata watu wadogo huku chini tunajua
Anae mdogo wake wa kike ameolewa na desperado moja hivi ambalo ndio lilikuwa kiungo cha upigaji wa familia, halina kazi au kampuni inayojulikana lakini anapewa ma tenda makubwa makubwa including ya kijeshi. Mtoto wa mfalme alionyeshwa the ropes na huyu.hivi RZ1 hana wadogo zake au wakubwa zake?