Kashfa ya Jairo: Malipo ya zaidi Billioni 1 kusaidia Bajeti ipitishwe - Adai MP Beatrice Shelukindo

Status
Not open for further replies.
Huyu Nape anatoa maoni yake kusifia Magamba tuuuuu against opposition as if upinzani hawakutoa hoja za maana Bungeni! Na huko anakodai "CCM imejivua gamba," je, watuhumiwa wa Meremeta, Deep Green Finance, Tan Gold, Mwananchi Gold, Rada, Kagoda, nk wamefikishwa Mahakamani na mali walizoiba zimesharudishwa Serikalini? Kusema kweli nachukia baadhi ya kauli za Nape anapoeneza propaganda za ajabu kwa mwavuli wa "kujivua gamba!"
sasa wewe unafikiri bila hao wabunge wa CCM hiyo bajet si ingepitishwa? Sasa upinzani kutoa hoja ina faida gani wakati kwenye kupiga kura wanapigwa bao?
 
wazushi tu hawa mwananchi....hawakuwa na taarifa hawa....au kama waliuwa nazo baso wamekula kiasi cha pesa hizo........
 
Katika sakata zima la barua za katibu mkuu wa nishati na madini za kuomba pesa kwenye idara mbalimbali kwa ajili ya kuwaonga
wabunge ili kupitisha budget yao nimekuwa nikijiuliza ushahidi wa barua umeshakwisha kutolewa takukuru iko wapi, hosea unaotafuna
pesa za watanzania kwa kuandaa makongamano na semina zisizo kwisha, mtoa rushwa jairo huyu hapa mbona uonekani ?? pamoja na kwamba
bw. jairo anaweza kutimuliwa kazi lakini kuna criminal offence has been committed inabidi mhusika pamoja na kufukuzwa kazi pia afikishwe
mahakamani kwa kitendo alichokifanya na siyo kuishia kufukuzwa kazi tu.
 
MBUNGE wa Kilindi (CCM), Beatrice Shellukindo amelipua bomu Bungeni akimtuhumu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo, kwa kutumia zaidi ya Sh 1 bilioni kwa ajili ya kutoa rushwa kwa watu mbalimbali ili bajeti ya wizara hiyo iweze kupitishwa na Bunge.Tuhuma hizo nzito zinakuja kipindi ambacho tayari Wabunge wa Kamati ya Nishati na Madini wakiwa wameibua tuhuma kama hizo za baadhi ya wajumbe kutaka kuhongwa na maofisa wa wizara hiyo, ili kurahisisha upitishaji wa bajeti ndani ya kamati.

Takriban wiki tatu tangu wabunge wa kamati hiyo kuibua tuhuma hizo ambazo zilifika hadi kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana Shellukindo alikoleza moto huo wakati akichangia bajeti ya wizara..........................................................(chanzo: gazeti la mwananchi 18, Julai, 2011)
 
Dawa ya walarushwa ni kuwazomea wapopita mitaani. Takukuru ni jibwa lisilo na meno, kamwe haliwezi kung'ata.Raisi mwenyewe ni miongoni mwa watu walio ling'oa meno jibwa letu la takukuru.Wanaofungwa kwa rushwa na ubadhirifu ni wale ambao walikuwa na bifu za mademu na bwana mkubwa. Hahhahahah zisi cantre bwana!!!!!!
 
Hivi baada ya kupokea fedha hizo (1bn) kutoka idara zake ndani ya wizara kuna uwezekano Bunge likaelezwa zimetumikaje au bado zipo tu wizarani
 
Mwananchi.gif


Hivi mmesoma hili gazeti linavyojitetea leo kuwa walijua kuhusu hii kashfa ya rushwa wizarani lakini kwa kusudi wakaamua kunyamaza eti kwa sababu Wizara ya Nishati walishatoa ufafanuzi Sasa why wait for January aibue hii kshfa kisha ndio wao waje kuidandia?

So we come round to the point where all this outrage over Jairo's behaviour jana bungeni, and other politicians these rags (Mwananchi et al) secretly support etc is all just hot air. Like petty criminals banging a van with a paediatrician in it to show their petty criminal mates what upstanding moral individuals they are.

Mbaya zaidi wanasema eti wanahifadhi jina la kampuni iliyohusika kusambaza hizi pesa za hongo
This says alot about our CORRUPT MEDIA...the same goes to the ever gray & misty pictured TBC!
basically these buggers ushahidi walikuwa wanao lakini katika kuonyesha how complicit in this cover up proves that Mwananchi tabloid journalists truly are the scummiest of the scum
.

January, Rostam na Lowassa wanaangusha serikali ya JK hata wasemeje. Hii mizimu yote ni ya January. ALijifanya kuibua Rushwa ndani ya Kamati yake, kumbe ni yeye ndo alisuka mpango mzima. Watu wameanza kumuangalia na macho ya upole kweli. Huyu kijana anakuja kuiua CCM hasa serikali ya JK sasa vita na ngeleja na Jairo ni ya nini jamani?
 
CCM oyeeeeeeeeeeee...............
Rushwa oyeeeeeeee..................
Mabambano dhidi ya rushwa ziiiiiiii...........
Tunajivunia ushindi wa kimbunga alioupata JK mwaka 2005
 
Watakuwa wazichukua/ wameshapewa hizo milioni hamsini hamsini walizokataa wabunge. Lol!
 
Hivi baada ya kupokea fedha hizo (1bn) kutoka idara zake ndani ya wizara kuna uwezekano Bunge likaelezwa zimetumikaje au bado zipo tu wizarani

hukusikia jana kuwa zilitumwa huko GST?zimebaki kidogo sana....
 
CCM oyeeeeeeeeeeee...............
Rushwa oyeeeeeeee..................
Mabambano dhidi ya rushwa ziiiiiiii...........
Tunajivunia ushindi wa kimbunga alioupata JK mwaka 2005


safi sana bujibuji, nakupa bigup sana you make my day humu jf
 
Wizara ya Nishati na Madini, wasingefanya hayo waliofanya kama Wabunge wasingekuwa wanahongeka?

Alafu CAG kwa nini unakubali Wafanyakazi wa Serikali kulipwa cash... weka kanununi kwamba lazima walipwe through their bank account... hapa watakamatika wakati wote.


Kasheshe.
 
Tatizo ni Sera na kukosekana kwa Uhuru wa Habari, Mwananchi hawawezi kugeuka "walipua kashfa"- Wao ni "reporters wa matukio baridi". Habari hiyo iliwafaa zaidi "Mwanahalisi, Tanzania Daima au Raia Mwema".
 
Yah, kama wengi walivyosema mwanzoni ni mshkaji sana wa JK tangu maji, nishati na madini, asa inabidi bwana mkubwa ambwage na afikishwe mahakamni. Jizi kubwa hili.
 
Behaviour za hawa wakuu wa vyombo vya mashitaka na uchunguzi zinashangaza sana. They are never pro-active. Nakumbuka kule Kenya KACC na DPP wanavyowapa vibano wanasiasa na watendaji bila kujali ukaribu wao na watawala. Lakini hapa focus ni rushwa ya mahakimu na polisi halafu takwimu nyingii!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom