kakomya
Member
- Jul 5, 2011
- 18
- 11
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza uchunguzi wake juu ya madai ya Wizara ya Nishati na Madini kuzichangisha taasisi zilizo chini yake fedha kwa ajili ya kufanikisha bajeti hiyo.Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward Hoseah amesema kwamba tuhuma hizo ni nzito na tayari taasisi hiyo imeanza kuzichunguza. Amesema taasisi yake inafanya uchunguzi kwa umakini na kwamba kila anayetuhumiwa atapewa nafasi ya kujitetea na kusisitiza kwamba ofisi yake inalichukulia suala la nishati ya nchi kwa uzito mkubwa."Tumeshaanza uchunguzi... jambo zito kama lile hadi Bunge linaahirishwa unafikiri tunaweza kuliacha hivihivi? Suala la nishati tunalichukulia ‘very serious'. Tutafanya uchunguzi wetu na tutaona matokeo baada ya kukamilika," alisema.
Wakati huohuo PM, Mizengo Pinda ana siri nzito kuhusu hatima ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini David Jairo baada ya kukaririwa akisema kuwa Rais Jakaya Kikwete amempa maelekezo mapya kuhusu suala hilo ingawa haijulikani ni maelekezo yapi kapewa.
What dude is TAKUKURU? This stupid institute has been sitting idle while or country's riches have been looted by our corrupt leaders and had at times sided with the looters of our national property like Chenge who was once defended by the very Director who is telling us today that his institute will pursue this issue! Afterall it has already been too late to take action if at all TAKUKURU is worth its name; that is the Prevention and Combating of Corruption Bureau, what a name!
To many Tanzanians today this institute is a hopeles burden to the nation with its 'usefulness' seen by our corrupt leaders and CCM in general.