DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Hakika Ngeleja Mungu kasikia kilio cha Watanzania,mama asiye na break Mrs shelukindo katoa mpya kwa kutoa waraka bungeni unaonyesha kuwa kila idala ndani ya wizara ya Nishati na Madini kutoa shilingi millioni 50 ,kwa ajili ya kuzituma kwenye account ya madini kitengo cha utafiti dodoma ili zitumike kwenye bajeti inayoendelea bungeni.
Mama shelukindo anataka kujua pesa hizo zimeenda kwa nani.kawasilisha nakala ya barua kwa spika,hofu kuna dalili zote za kifisadi kwenye isssue nzima hiyo
Ameleta kizaazaa ndani ya bunge hewa imechafuka kwa Ngeleja.kinachoendelea mwisho wake umefika.leo hii wanaojua kwenye Mkwanja huo watajuze huko?
UP TO DATE LEO TAREHE [19/11/2011]:
Taarifa ya tume ya Bunge inatolewa sasa ndani ya Bunge La Jamhuri ya Muungano,Who is Next?
Mwenyekiti wa tume amewasilisha report kuwa tume imeeona utaratibu uliotumiwa na katibu wa wizara ya madini bwana David Jairo hakuwa sahihi na hivyo ni kosa dhahiri kwamba yaliyotendwa na David Jairo hayakuwa na kibali toka kwa waziri wa fedha hivyo hakukuwa na kasma mahususi toka wizara ya fedha ama wale wote waliombwa kuchangia pesa hizo.
Mama shelukindo anataka kujua pesa hizo zimeenda kwa nani.kawasilisha nakala ya barua kwa spika,hofu kuna dalili zote za kifisadi kwenye isssue nzima hiyo
Ameleta kizaazaa ndani ya bunge hewa imechafuka kwa Ngeleja.kinachoendelea mwisho wake umefika.leo hii wanaojua kwenye Mkwanja huo watajuze huko?
UP TO DATE LEO TAREHE [19/11/2011]:
Taarifa ya tume ya Bunge inatolewa sasa ndani ya Bunge La Jamhuri ya Muungano,Who is Next?
Mwenyekiti wa tume amewasilisha report kuwa tume imeeona utaratibu uliotumiwa na katibu wa wizara ya madini bwana David Jairo hakuwa sahihi na hivyo ni kosa dhahiri kwamba yaliyotendwa na David Jairo hayakuwa na kibali toka kwa waziri wa fedha hivyo hakukuwa na kasma mahususi toka wizara ya fedha ama wale wote waliombwa kuchangia pesa hizo.