kiukweli hawa jamaa mi siwaelewi kabisa..tarehe 17/11 nilituma pesa kimakosa kwenda kwa mtu wa voda 50,000/=, baada ya kugundua nimekosea hapo hapo nikampigia sim yule niliyemtumia akawa hapatikani niawema afadhali hapatikani atakua hajaitoa,nikapiga sim tigo hapo hapo wakasema wewasiliana na watu wa voda hela wameizuia huyo mtu hawez kutoa nisubiri masaa 72 pesa itarudi,nikasubiri zaidi ya masaa 72 nikawapigia wakasema nisubir tena masaa 72 kama huyo mtu atakua hajatoa pesa watarudisha,nnachoshangaa kivip huyo mtu awe katoa pesa wakati nili toa taarifa mda mchache baada ya kukosea na vip iwezekane atoe pesa wakati hapatikani mda wote(maana nilikua nampigia almost kila siku,na nilimtumia text incase akipatikana ntapata delivery report),nikasubir tena masaa 72 nilipowapigia wakaanza kuongwa kwa ukali,nikawapigia voda nao sikuwaelewa...hadi leo pesa yangu haijarudi na tule mtu haptikani mpaka leo..hivi TCRA hawahusiki na hizi kesi?