Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,883
244,449
Wakuu Naomba hili tuliangalie kwa jicho la tatu .

Kuna malalamiko mengi sana kuhusiana na ucheleweshaji wa kurudisha fedha za wateja zinazotumwa kwa makosa kwa watu wasiohusika .

Ukiongea na customer care unaambiwa fedha zako ziko salama na utarudishiwa ndani ya masaa 24 lakini hawarudishi hata baada ya wiki , ukiwauliza unaambiwa utaratibu ni lazima wawasiliane na yule uliyemtumia hela , na kwamba kutokupatikana kwake ndio sababu ya kuchelewesha kurudisha hela , uongo mtupu ! Maana ni kwamba wateja wote hata kama wako hewani , hakuna ofisa yeyote wa Tigo anayejishughulisha kuwapigia simu kama wanavyodai , Tatizo liko wapi ? Ni kweli kwamba baadhi ya watu wa kitengo cha fedha si waaminifu kama nilivyodokezwa na mtu wa jikoni ? Na kwamba wanasubiri baadhi ya wateja wakate tamaa ili wazipige hela zao ?

Viongozi wa TIGOPESA tupeni majibu .

NB - UZI HUU NI WA UCHUNGUZI NA UTAENDELEA KUONGEZWA NYAMA KWA KADRI TAARIFA ZINAVYOTUFIKIA .
 
mkuu unatakiwa uvute subira hasa mimi nilirudishiwa baada ya mwezi na wiki tatu nlifuatilia mpaka nkachoka kila ukiwauliza wanakwambia vuta subira
 
mkuu unatakiwa uvute subira hasa mimi nilirudishiwa baada ya mwezi na wiki tatu nlifuatilia mpaka nkachoka kila ukiwauliza wanakwambia vuta subira
Kwanini wanafanya hivyo , wanakopa hela za watu kinguvu ?
 
Mimi nilipiga simu nikaongea na wahudumu wao zaidi ya watatu kwa siku tofauti wakawa wananijibu nisubiri baada ya saa 24.

Nikawafuata ofisini kwao jibu ni hilohilo. Nikaachana nao baada ya wiki hela ikarudi.

Ni usumbufu sana kwa kweli.
 
Wanaboa sana nilikosea
Nikawapa taarifa wakasema nisubili baada ya masa a 24 hakuna majibu na Leo ni mwezi na nusu
 
Wakuu Naomba hili tuliangalie kwa jicho la tatu .

Kuna malalamiko mengi sana kuhusiana na ucheleweshaji wa kurudisha fedha za wateja zinazotumwa kwa makosa kwa watu wasiohusika .

Ukiongea na customer care unaambiwa fedha zako ziko salama na utarudishiwa ndani ya masaa 24 lakini hawarudishi hata baada ya wiki , ukiwauliza unaambiwa utaratibu ni lazima wawasiliane na yule uliyemtumia hela , na kwamba kutokupatikana kwake ndio sababu ya kuchelewesha kurudisha hela , uongo mtupu ! Maana ni kwamba wateja wote hata kama wako hewani , hakuna ofisa yeyote wa Tigo anayejishughulisha kuwapigia simu kama wanavyodai , Tatizo liko wapi ? Ni kweli kwamba baadhi ya watu wa kitengo cha fedha si waaminifu kama nilivyodokezwa na mtu wa jikoni ? Na kwamba wanasubiri baadhi ya wateja wakate tamaa ili wazipige hela zao ?

Viongozi wa TIGOPESA tupeni majibu .

NB - UZI HUU NI WA UCHUNGUZI NA UTAENDELEA KUONGEZWA NYAMA KWA KADRI TAARIFA ZINAVYOTUFIKIA .
 
Hata airtel ni matatizo matupu unaweza ukalipia kitu ukaambiwa your transanction is being processed na hela wanakata na hiyo transanction inaweza kaa hata mwezi mzima bila mafanikio ukipiga simu hupati majibu ya kueleweka kifupi wanauudhi sana.
 
Huu ni upuuzi sana, nilishawahi mtumia mtu fedha kwa bahati mbaya akaibiwa simu kabla ya kuitoa, na sehemu aliyokuwepo hakukuwa na huduma ya kurenew sim card, hivyo akaniambia niwapigie simu wairudishe ili nimtumie kwenye no nyingine..
Niliwapigia hao jamaa simu nikawaeleza lakini wakalazimisha hadi wawasiliane naye, mimi nikawaeleza hali halisi jinsi ilivyo but walisumbua sana na mtu mwenyewe alikuwa na shida sana na pia hata kiasi nlichotuma kilikuwa kikubwa kiasi,
Ikabidi yule mtu aende mjini na ilikuwa ni mbali akarenew tu ile line, but baada ya siku kama nne!
Hapa naona tu kuna ujanja ujanja wanafanya, ikitokea uliyemtumia hatopatikana hewani tena au umekosea kutuma kwenye no ambayo haipo ni maumivi, million 2 inaweza kuwa vapour hivi hivi...
 
Huu ni upuuzi sana, nilishawahi mtumia mtu fedha kwa bahati mbaya akaibiwa simu kabla ya kuitoa, na sehemu aliyokuwepo hakukuwa na huduma ya kurenew sim card, hivyo akaniambia niwapigie simu wairudishe ili nimtumie kwenye no nyingine..
Niliwapigia hao jamaa simu nikawaeleza lakini wakalazimisha hadi wawasiliane naye, mimi nikawaeleza hali halisi jinsi ilivyo but walisumbua sana na mtu mwenyewe alikuwa na shida sana na pia hata kiasi nlichotuma kilikuwa kikubwa kiasi,
Ikabidi yule mtu aende mjini na ilikuwa ni mbali akarenew tu ile line, but baada ya siku kama nne!
Hapa naona tu kuna ujanja ujanja wanafanya, ikitokea uliyemtumia hatopatikana hewani tena au umekosea kutuma kwenye no ambayo haipo ni maumivi, million 2 inaweza kuwa vapour hivi hivi...
Asante mkuu kwa ushuhuda , hivi kwanini MAMLAKA ZINAZOHUSIKA ZINAWAANGALIA TU HAWA WAHUSIKA ?
 
Mimi nilituma hela kutoka tigo kwendaa airtell elfu 50 kwa bahati mbaya nikawa nimekoasea namba nilituma kwa mtindo wa hela kuingia kwenye account moja moja baadae nikawasiliana na tigo wakanizungusha baadae wakanambia hela imeshatolewa na wakati mimi nikiipiga ile namba haipatikan nikaenda airtell wakasema hiyo line ilikuwa inadaiwa so sytem ime deduct hiyo hela had huyo mtu aje aweke hela ndio wao wataiota kuiruhisha tigo huyo mtu mwenyewe alikiwa anadaiwa 110,000 alikopa kwenye timiza sasa hapo nilishindwa kuelewa nani alitakiwa kusimamia haki yangu na nani kaniibia maan kama nime comfirm hela ni zangu na nimekosea kutuma why niwajibike kulipa hela mtu mwingine policy zao sizijui ndio maana sikujua pakuamzia nilirud tigo nikawaelezea ishu kamili wakasema hwana cha kufanya sababu hela ipo mikononi mwa airtll..nipo dar na nilienda tigo mliman city na airtell miliman city na morroco had niakaachana hiyo hela...jiulize aliepo mkoani..!
 
Back
Top Bottom