Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

Mimi pia nina dukuduku kuhusu awo Tigo
Naomba nipunguze jaziba kwanza...ntarudi kulitoa.
 
Hivi humu kuna wafanyakazi wa huu mtandao? Nikienda ofisini naweza pelekwa polisi buree mana nna hasira nao hadi mwishoo
 
Unalalamika huku una lain ya tigo ktk cm we bure kabisa mi nisharitupa mwaka jana
 
Tigo majambazi, mimi nawapenda sana voda nakumbuka last year nlituma pesa kimakosa nikawasiliana na customer care baada ya kukata simu hela ilirudi hapo hapo
 
Back
Top Bottom