KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
hapo hakuna chakuuliza maana au kutomlalamikia JK hii stori haipishani na ya Waziri wake aliyekutwa Morogoro na,"SMG"!,Dollar 4000,Laptop 3,Bastola vyote hivyo wewe unadhani vilikuwa vya nini??Je JK kamchukulia hatua gani??Je hiyoSMG ingekutwa kwa raia sasa hivi huyo raia angekuwaje kama siyo maiti??acheni kurema kwenye maswala ya msingi lazima JK alaumiwe yeye na serikali yake!!Wewe umeona Polisi wanasema nini??leo ukikutwa na bastola wewe ni jamabazi na unapigwa risasi kwenye msitu wa mabwepande je SMG siunakatwa shingo??Ni mapema mno kusema ni kashfa ya serikali ya JK.....kashfa nyingine si za serikali za mtu binafsi hadi pale itakapothibitishwa serikali imejiingiza officially kumkingia kifua na uhalifu huo kama kweli ulitokea.