DOKEZO GE2025 Kashfa kubwa mchujo wa Ubunge Mwanga. Kama wewe sio Muislam hupiti. Sikiliza audio iliyovuja

DOKEZO GE2025 Kashfa kubwa mchujo wa Ubunge Mwanga. Kama wewe sio Muislam hupiti. Sikiliza audio iliyovuja

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,569
Reaction score
21,075
Mchakato wa uchaguzi wa kura za maoni za kuwania nafasi mbalimbali za Ubunge na Udiwani, zimeingia dosari baada ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Mwanga, Ibrahim Mzava, kudaiwa kuendesha mchakato huo kwa ubaguzi wa dini pamoja na kuomba rushwa kwa baadhi ya watia nia wa Ubunge kwenye jimbo hilo la Mwanga, mkoani Kilimanjaro.

Sauti iliyovuja inamuhusisha Mwenyekiti huyo, ikisikika akizungumza na mmoja wa watia nia, wakijadiliana umuhimu wa nafasi ya Mbunge wa jimbo, ikishikwa na mtu anayetokea kwenye dini ya uislamu.

Sauti hiyo ilisisitiza kwamba ili mchakato huo uende vizuri, lazima mgombea awe Muislamu badala ya watu wa imani nyingine.

#KitengeUpdates

 
Mchakato wa uchaguzi wa kura za maoni za kuwania nafasi mbalimbali za Ubunge na Udiwani, zimeingia dosari baada ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Mwanga, Ibrahim Mzava, kudaiwa kuendesha mchakato huo kwa ubaguzi wa dini pamoja na kuomba rushwa kwa baadhi ya watia nia wa Ubunge kwenye jimbo hilo la Mwanga, mkoani Kilimanjaro.

Sauti iliyovuja inamuhusisha Mwenyekiti huyo, ikisikika akizungumza na mmoja wa watia nia, wakijadiliana umuhimu wa nafasi ya Mbunge wa jimbo, ikishikwa na mtu anayetokea kwenye dini ya uislamu.

Sauti hiyo ilisisitiza kwamba ili mchakato huo uende vizuri, lazima mgombea awe Muislamu badala ya watu wa imani nyingine.

#KitengeUpdates

View attachment 3406128
Ndiyo maana Kanisa la Gwajiboy na wafuasi wake wanapigwa mabomu lengo ni kutokomeza ukristo na kuhakikisha waislamu ndiyo wanakuwa viongozi, aisee kwa jicho la mbali udini
 
Hii ni hatari sana kama tumefikia hatua ya kuchaguana kidini duuuh nchi yangu 🇹🇿 hatujazoea haya mambo, hii italeta vita vya kidini, inawezekana hawa watu wanaona kama wakristo wanampinga samia kwa sababu ya uislamu wake kitu ambacho sidhani kama ni sahihi,
Viongozi msipokemea haya mambo, mtaleta chuki na vita vya kidini ambayo mara nyingi haina mshindi
 
Mchakato wa uchaguzi wa kura za maoni za kuwania nafasi mbalimbali za Ubunge na Udiwani, zimeingia dosari baada ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Mwanga, Ibrahim Mzava, kudaiwa kuendesha mchakato huo kwa ubaguzi wa dini pamoja na kuomba rushwa kwa baadhi ya watia nia wa Ubunge kwenye jimbo hilo la Mwanga, mkoani Kilimanjaro.

Sauti iliyovuja inamuhusisha Mwenyekiti huyo, ikisikika akizungumza na mmoja wa watia nia, wakijadiliana umuhimu wa nafasi ya Mbunge wa jimbo, ikishikwa na mtu anayetokea kwenye dini ya uislamu.

Sauti hiyo ilisisitiza kwamba ili mchakato huo uende vizuri, lazima mgombea awe Muislamu badala ya watu wa imani nyingine.

#KitengeUpdates

View attachment 3406128
Anayesikika kwa karibu zaidi (labda anaye rekodi) ndiye anapaswa kuwa mtuhumiwa, badala ya huyo Ibrahim Mzava
 
Hii ni hatari sana kama tumefikia hatua ya kuchaguana kidini duuuh nchi yangu 🇹🇿 hatujazoea haya mambo, hii italeta vita vya kidini, inawezekana hawa watu wanaona kama wakristo wanampinga samia kwa sababu ya uislamu wake kitu ambacho sidhani kama ni sahihi,
Viongozi msipokemea haya mambo, mtaleta chuki na vita vya kidini ambayo mara nyingi haina mshindi
Twende Mdogo mdogo tutafika tu, ccm ni janga
 
Yeye ni huyo aliyepiga simu au aliyepigiwa simu?
Kama ni huyo aliyepigiwa simu basi wanamuonea tu anafuata maagizo, inaonekana huyo aliyesema atatuma hela,alikuwa na nia ya kumrekodi huyo mwingine ukisikiliza vizuri maneno yake.
Hivi kwa sasa muongeaji kwenye simu wa upande mmoja anaweza kumrekodi vipi muongeaji wa upande wa pili bila mwenzake kujua kuwa anarekodiwa moja kwa moja kwa kutumia simu ile ile inayotumika kwenye mazungumzo yao?
 
Back
Top Bottom