Kashfa Bandarini: Wafanyakazi watatu wa TRA wasimamishwa kazi kupisha uchunguzi

Mtukufu Rais alisema "Mtumishi wa UMMA ukifanya makosa usitegemee kuhamishwa kituo cha kazi, utafukuzwa (nitalala nao), naona sasa kauli yake inatimia.Ikigundulika hao jamaa wamepiga pesa za umma fukuzia mbali huko.

Asiwafukuze, awahamishe.....kutoka walipo hadi SEGEREA
 
Uchunguzi zaidi

kama mlikuwa mnasubiri lowasaa aingie ndio mukimbie nchi mungu kaleta lowasaa part ii

wale maofisa watatu waliosimamishwa na mh wazirimkuu majaliwa ambao walikuwa.wahamie vituo vipya kuanzia jtatu..sasa wamesimamishwa kazi na watabaki hapa kws.ajili ya kusaidia uchunguzi

pamoja nahayo.wameshauriwa kupeleka ppt zao kwa.igp kwa mahojiano zaidi...kazi inaendelea

src itv
 
Sio fukuzia mbali..filisi na weka segerea..wanakula raha wakati wananchi wanaishi kwa shida!

Umesema nilichotaka sema..yn wafilisiwe mpk pesa ya vocha wakose kufidia hasara ya serikali
 
Magufuli hana ujinga kwenye kazi, aibu yako hata wewe? kwa serikali iliyopita, haitakuwa rahisi kuchukuliwa mawaziri hao tena, kwani walionesha kuifilisi nchi ndio maana nchi haina hela ila ina madeni makubwa aibu hata wewe?
 
huko mimi ndiyo nimechoka ukiwa mbagala dar ukanunua umeme kwa mtandao wa sh.10,000 utapata units 77.7 na ukiwa morogoro- misufini kwa ela hiyo unapata units 28.4 wakati makato ni yale yale, tarif ni ile ile (moja) na mtandao uliotumia kununulia ni ule ule...!
============================
hivi huyo robert nyoni ana uhuhusiano wa kiundugu na blandina ('irion' lady)...!?

ununuzi wa umeme kwa sh 10000 kwa maeneo tofauti hujachunguza vizuri. Mi nauza umeme. Hizo ni mita 2 mbili tofauti na tarrif tofauti. Za kwanza ipo kundi la watumiaji walio ondolewa service charge, wanauziwa bei ndogo, wanapata unit 75 kwa sh 9150.
 
ununuzi wa umeme kwa sh 10000 kwa maeneo tofauti hujachunguza vizuri. Mi nauza umeme. Hizo ni mita 2 mbili tofauti na tarrif tofauti. Za kwanza ipo kundi la watumiaji walio ondolewa service charge, wanauziwa bei ndogo, wanapata unit 75 kwa sh 9150.

Mkuu ni kweli ni mita mbili tofauti kwa maana ya namba ya LUKU, lakini tarrif ni aina moja Tarrif 1; na maelezo ninayopata kwenye sms baada ya kununua yana fanana kama hivi:
SELCOM3EMDB...
......................
.....

COST TZS 8,442.63
VAT 18% TZS 1,519.67
EWURA 1% TZS 84.43
REA 3% TZS 253.27
TOTAL TZS 10,300.00
Kote hayo malipo ya mwezi yamelipwa....!
 
Wadau kile kiliochetu cha kutowahamisha watumshi wa serikali kama alivyotuahidi kipindi cha kampeni juzi ametimiza azma ya wa tz....Waziri mkuu alitangua uhamisho wa wafanyakazi hao na kutaka management ya bandari iwasimamshe kazi kwa uchunguzi zaidi.....Tunashukut sana sir magufuli kwa kurespobd fasta kwenye kilio chetu...

Ref.Mwananchi la Jana Jumapili 29 Nov 2015
 
Nilishasema humu hata kabla ya July 2015...Tz inahitaji rais radical....na sioni mtu mwingine nje ya Magufuli!
 
Ahsante sana. Magufuli katika moto wake

Mzee mwenzangu ivii ww unafanya kazi saa ngapi..kila uzi humu jf naliona jina lako likiashilia ulikuwepo kwenye uzi husika na unamwaga na neno lako la hekima..swali langu ni je? Kazi unafanya saa ngapi?
 
Mzee mwenzangu ivii ww unafanya kazi saa ngapi..kila uzi humu jf naliona jina lako likiashilia ulikuwepo kwenye uzi husika na unamwaga na neno lako la hekima..swali langu ni je? Kazi unafanya saa ngapi?

Ndo kazi yake hiyo. jioni anakamata buku 7 saaafi!
 
Back
Top Bottom