zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Mzee mwenzangu ivii ww unafanya kazi saa ngapi..kila uzi humu jf naliona jina lako likiashilia ulikuwepo kwenye uzi husika na unamwaga na neno lako la hekima..swali langu ni je? Kazi unafanya saa ngapi?
kazi ipi wakati hata jf ni ofisi ilokamilika