Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Members of public had a Moi day present along Thika Road on Friday afternoon, when a a truck full of Beer overturned scattering all the beers along the Road.
duh,kwa hiyo watu walijirusha kinoma.Ama kweli mkosi wenye bahati.
Hapana shaka jamaa anatoa mwaliko kwa wengine...
Yani ukitaka kuona jinsi gani waafrika tulivyokuwa watumwa wa pombe, pembeni yake lingedondoka lori lingine lililobeba viroba vya mchele, bado watu wangejazana kwenye lori la bia.
Povu linadondoka, yaani raha mustarehe! (Picha ya mwisho)
Ni dhahiri hiyo sio bia yake ya kwanza, wala hana pupa.
Duuh, tujitu twingine bana... tunoko truetrue! Sasa hapo kenyewe kame-lose nini? Utafikiri ka MD ka Ndovu breweries vile..... basi tu kujipa majukumu kasikositahiri, mweeee.... wangekaramba na chupa moja ya mguuni labda nd'o kangejifunza.... nyooo, si kaache nature i-take its course, watu wasafishe barabara kwa bure... magari yapite hapo chupa zisagike na kurudi into silicate na MOI DAY iishe kwa furaha!!!
ha ha ha ha.... unataka wayapeleke Mtakuja primary school yawe kama madawati nini?!! watu wa kuya-mind kwa sana ni wasindikaji wa Tembo asilia, wanzuki na ulanzi, ambavyo vyote naamini si kwa wingi ndani ya downtown n'Robi maana malighafi zake hazipatikani huko kirahisi... lolKenya ma-crate sio dili eh?!
.
Duuh, tujitu twingine bana... tunoko truetrue! Sasa hapo kenyewe kame-lose nini? Utafikiri ka MD ka Ndovu breweries vile..... basi tu kujipa majukumu kasikositahiri, mweeee.... wangekaramba na chupa moja ya mguuni labda nd'o kangejifunza.... nyooo, si kaache nature i-take its course, watu wasafishe barabara kwa bure... magari yapite hapo chupa zisagike na kurudi into silicate na MOI DAY iishe kwa furaha!!!
wamenifurahisha hakuna anayemind crets wao bia tu.
ha ha ha ha.... unataka wayapeleke Mtakuja primary school yawe kama madawati nini?!! watu wa kuya-mind kwa sana ni wasindikaji wa Tembo asilia, wanzuki na ulanzi, ambavyo vyote naamini si kwa wingi ndani ya downtown n'Robi maana malighafi zake hazipatikani huko kirahisi... lol
hahahah si utani