#COVID19 Karma ni hatari: Mzanzibar aliyebeza COVID-19 huko ughaibuni, imempata

Uchanje, usichanje utakufa tu! Siku za kuishi binadamu ni chache sana.
 
Kwani ukichanjwa ndio hupati huo ugonjwa? uchanje au usichanje ikifika utaupata tu
Ukichanja unaimarisha kinga mzee.
Kuchanja ni sawa na kufunga milango wakati unaenda kulala. Si kwamba ukifunga mlango huwezi ibiwa, bali inapunguza urahisi wa kuibiwa.

Huwezi sema ulale milango wazi kwakuwa mwizi anaiba hata ukiwa umefunga milango.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwani ukichanjwa ndio hupati huo ugonjwa? uchanje au usichanje ikifika utaupata tu

Nilivyockia kuambukizwa unaambukizwa ata kama umepata chanjo, but haitakusumbua. Tofauti na ambae hajapata chanjo ikimpata itamsumbua na hata kufa.
 
Mwendazake aliikandia na kuikebehi ikaamua kusepa naye na kijiji, hilo Dude ni kuomba tu lisikukute ni suala lingine kabisa hilo Jombaa
 
Back
Top Bottom