Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Halafu utakuta na wewe una ndugu wanakutegemeaScience ipo na iyakuwepo. Magonjwa yapo na yataendelea kuwepo. Mnataka watu wote tuamini kitu kimoja kwani lazima? Tumekuwa robots? Hata robots ziko za iana tofauti tofati.
Halafu ole wako ufe maana ukifa dunia itasema umekufa na Covid. Kama watu hawajawahi kufa before
Na chanjo zote za utotoni ulipata
smdh