Karibuni Songea

Karibuni Songea

No matter where you go, remember the road that will lead you home. Mbinga my hometown nina kumbukumbu nyingi sana ndio sehemu niliyofall in love for the first time kubwa upatikanaji wa chakula cha kutosha nimemiss pitiku kipindi cha mvua mboga ya chainizi inayokaangwa na mafuta ya nguruwe na ugali mkubwa.

Disko Mbicu hotel nikiwa nimetupia form six kubwa na suruali ya kubana chini nikiwa nimevalia raba kali mkononi nina pakti ya reds nainyonya na hiyo ni baada ya kula pilau la kutosha home.

Route za studio PS records na mwanangu wa faida kwenda kurekodi.

Wapi Komba Dae, Kusile, Andoya, Mdaka Five ila kwa sasa nasikia kuna matajiri wengine it's been a while

Ruhuwiko, Matalawe, FurahaStore, Mbuyula, Kiwandani, Jimboni, Misheni, Mbinga Day, Mbambi, Makita.

Yote kwa Yote lile Baridi na Udongo mwekundu litanifanya niendelee kuwa Diaspora.
Wee jamaa umenikumbusha mbali sana. Nimeiona mitaa ya home umeitaja hapo furahastoo hahaaa. Kanisa la biblia pale tulikuwa tunaiba sana faraj faraj enzi zetu. Na kule kwa masista misheni ya st alois iba sana ndizi.

Disko paradise kwa ngongi, mbicu au kahawa club kiwandani na ruvuma inn. Hahaaa. Sasa hivi naskia imebadilika sana sijaenda like 20yrs asee.
 
Hiv kile koghorofa chake Bado kipo

Watu wangu wa miaka hyo sjui Bado wapo MAJOBA (Nasikia rip) KEI LUPOGO HAZARA MZEE BABA TINKLA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa wee jamaa ukute tunajuana. Hao kina majoba, hazara mdogoa ake athman na kei mdogo ake solomoni na siza nawafaham. Sijui wapo wapi mana mm nina kama 20 yrs nimepotelea kusiko julikana
 
No matter where you go, remember the road that will lead you home. Mbinga my hometown nina kumbukumbu nyingi sana ndio sehemu niliyofall in love for the first time kubwa upatikanaji wa chakula cha kutosha nimemiss pitiku kipindi cha mvua mboga ya chainizi inayokaangwa na mafuta ya nguruwe na ugali mkubwa.

Disko Mbicu hotel nikiwa nimetupia form six kubwa na suruali ya kubana chini nikiwa nimevalia raba kali mkononi nina pakti ya reds nainyonya na hiyo ni baada ya kula pilau la kutosha home.

Route za studio PS records na mwanangu wa faida kwenda kurekodi.

Wapi Komba Dae, Kusile, Andoya, Mdaka Five ila kwa sasa nasikia kuna matajiri wengine it's been a while

Ruhuwiko, Matalawe, FurahaStore, Mbuyula, Kiwandani, Jimboni, Misheni, Mbinga Day, Mbambi, Makita.

Yote kwa Yote lile Baridi na Udongo mwekundu litanifanya niendelee kuwa Diaspora.
Hahahaha, that's very important!

Mbinga is developing very quickly. I've been away for almost five years and things have changed a lot.

NB. Nipo 24 plus!
 
Ma
Hahahaaa wee jamaa ukute tunajuana. Hao kina majoba, hazara mdogoa ake athman na kei mdogo ake solomoni na siza nawafaham. Sijui wapo wapi mana mm nina kama 20 yrs nimepotelea kusiko julikana
Majoba alifariki... Si unamuongelea Majoba mtoto wa Rosta na mdogo wake Kandi kama sikosei
 
Nina rafiki yangu mmoja wa kike nili kutana nae Twitter anaitwa Dorothy ana ishi SONGEA sehemu inaitwa MPITIMBI.

Aliwahi kuniambia SONGEA ni wakulima hodari wana lima sana mahindi kama una mtaji una weza kuwekeza kwenye kilimo SONGEA, hatimaye kupata matokeo chanya.
Ni sahihi kweli mkuu
 
Hahahaaa wee jamaa ukute tunajuana. Hao kina majoba, hazara mdogoa ake athman na kei mdogo ake solomoni na siza nawafaham. Sijui wapo wapi mana mm nina kama 20 yrs nimepotelea kusiko julikana
Kabisa mkuu Nina miaka 20 Sasa sijaenda songea ubize wa Kaz lakn Ni eneo zur Sana mm nilipita advance pale kigonsera na hao nilio wataja walikuwa o level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.

Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.

Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe

Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)


Karibuni Songea
mazplusfly_tz_1685718577864910.jpg
mazplusfly_tz_1685718577864398.jpg
mazplusfly_tz_1685718577864345.jpg
 
Back
Top Bottom