Karibuni Songea

Karibuni Songea

Ushirikina kila sehemu upo usisingizie Songea tu mbona Sumbawanga wanasifika sana lakin je hakuna wageni na wamefanya maendeleo makubwa tu. Lakin hoja yako ya kutokua na chuo kikuu haina mashiko kwan kuna mikoa mingapi haina vyuo vikuu lakini wanaishi tu. Acha wivu na Dharau za kijinga karibu tule ulusiti a.k.a wakurya wanaita kichuri
 
Hoja gani unataka?? Kwani ktk huu uzi umeona watu wana compare na sehemu ingine? Hapa tupo wakunyumba na wanaoishi hapa tunazungumzia sehemu yetu.

Nyie ambao mna sehemu zenu nzuri, na za kijanjaa sisi sio shida zetu.

Kwahiyo kwa kuwa kwetu bushi na hakuna cha maana (km ambavyo mnadai) bas tusipazumgumzie? Kheeeh na nye mkazungumzie hizo sehemu zenu nzuri na za kijanja. Wala hakuna anae wazuia.

Mtuachee bhana.
Huyo tunampa moja tuu, DOLIYANYOKO.
 
Weeeeee usiniambie!!!
Bomba mbili mitaa yangu, mwaka 2002 nilikuja likizo huko kuzurura nikatoka Mfaranyaki kufata Ngongoti kulikuwa na promotion ya Sabuni za Komoa. Ikafika saa 1 home nilipofika hawanioni wakati sehemu zangu za kucheza ilikuwa Kisiwa Garage,Pale Parking kwa Mfamaji,Majimaji stadium.

Narudi home nakuta watu wapo mbele ya nyumba wanajadili namna ya kunitafuta wanajua nilipotea, na nyumba ile ilikuwa ni ya mtu anayefahamika mji wote, kesho yake raia wakajua nilipotea au kusahau nyumba.
 
Bomba mbili mitaa yangu, mwaka 2002 nilikuja likizo huko kuzurura nikatoka Mfaranyaki kufata Ngongoti kulikuwa na promotion ya Sabuni za Komoa. Ikafika saa 1 home nilipofika hawanioni wakati sehemu zangu za kucheza ilikuwa Kisiwa Garage,Pale Parking kwa Mfamaji,Majimaji stadium.

Narudi home nakuta watu wapo mbele ya nyumba wanajadili namna ya kunitafuta wanajua nilipotea, na nyumba ile ilikuwa ni ya mtu anayefahamika mji wote, kesho yake raia wakajua nilipotea au kusahau nyumba.
Kwahiyo wakakupa jina shehe ubwabwa
 
Duh wakunyumba achana na watu wa songea nakwambia kwetu wamenyolewa kipindi hicho na kalembwani piga mapala yakutosha lkn wapi ndio kwanza wamechochewa yan ni shida kweli kweli
hatariii tupuuu.
 
Haahaa huyo super charger nimesikia alipata scandal ya kupita na mke wa mjeda, wajeda nao wakapita nae. Nasikia alikuwa hoi hadi alilazwa
Wajeda wa 4 walimla mande, mtungo huo, alilazwa peramiho, kakaa week 3 alivyopona akaenda Arusha, kakaa km miezi 3 aibu ilipoisha alirud, ila huduma mara nyingi wako wasaidizi wake.

 
Ushirikina kila sehemu upo usisingizie Songea tu mbona Sumbawanga wanasifika sana lakin je hakuna wageni na wamefanya maendeleo makubwa tu. Lakin hoja yako ya kutokua na chuo kikuu haina mashiko kwan kuna mikoa mingapi haina vyuo vikuu lakini wanaishi tu. Acha wivu na Dharau za kijinga karibu tule ulusiti a.k.a wakurya wanaita kichuri
Urustiii km urustii,
Umkute saibogi kautengeneza vizuri, wee namaliza hela yangu hapoo.
 
Wajeda wa 4 walimla mande, mtungo huo, alilazwa peramiho, kakaa week 3 alivyopona akaenda Arusha, kakaa km miezi 3 aibu ilipoisha alirud, ila huduma mara nyingi wako wasaidizi wake.

Daaah, mke wa mtu sumu, nitamtafuta kwenye simu. Mdogo wake alikuwa anaimba anaitwa Tabla kuna wimbo alimshirikisha Ben Pol ukahit kipindi hicho.
 

Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.

Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.

Songea pako vizuri ila kwasasa kuna baridi limeanza. Pia mavuno yameanza, ulevi wa kutosha hivyo kama unakunywa utakutana na hizi pombe

Komoni
Myakaya
Wanzuki
Ulanzi
Chimpumu (hii hunywi mpaka ipashwe jikoni)
Bs
Li Songea
Mimi nipo hapa mpitimbi mission nacheza dogoli huku nikiwa na bakuli la mbege,afu kwa mbali naona mbali naona akina mama wakicheza mandilu.
 
Back
Top Bottom