Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,882
- 136,521
Shangaa naweSasa kuna sehemu hakuna uchawiiii??![]()

Shangaa naweSasa kuna sehemu hakuna uchawiiii??![]()

Najua humkubali feo/selous.Tavavili je?
New force?
Na unapita njia ipi, via moro au lindi??

Nihamba lepa mpaka nimala ugimbi eeeh..... Haiwezekaniiii.... Haiwezekaniiii... Eeeh... Mpaka nimala ugimbi

moro ndo nzuriTavavili je?
New force?
Na unapita njia ipi, via moro au lindi??
Yaan huyu simkubalii hataNajua humkubali feo/selous.![]()





au nipitie lindiKweli![]()
Mie napenda ya Moro zaidi.au nipitie lindi
iyo ndo tamMie napenda ya Moro zaidi.
Yeaah hata sehemu za huduma ziko nyingi has a kuchimba dawa.iyo ndo tam
NyoooooooooooVp mademu wanajua sana ule mchezo wa kitandani au kama ndugu zangu wapare tu
Daaah alikua mjinga saana Otawa bas tuOttawa alifurushwa na wananchi, baada ya kugundulika kumbe yeye ndo alikua anamtuma mama chaulembo kuvuna viungo vya binadamu, maana amenunua misukulee wee haikutoshaa.
Ndo amekimbilia makambakooo![]()
Acha uongo bro!Mademu wa songea hawafui chupi na wanapendelea chupi nyeusi.



