Karibuni Songea

Karibuni Songea

Songea ni mkoa ambao unaongoza Kwa watu wenye roho mbaya na ubinafsi hususan wanapoona mtu mgeni anafanya maendeleo,, ni mkoa ambao una fulsa nyingi lkn wenyeji wamekuwa vipofu na kuzingatia ushirikina, Songea hakuna chuo kikuu hata kimoja yaan ni mkoa ambao bado upo nyuma mnooo,, jitahidin mbadilike jamani hiii nchi yetu sote
 
Pls sogea huku namtumbo, kijiji cha lingusenguse nikupatie ulanzi, on the way salimia hapo box 2,Lumecha, Namabengo, Litola, Kumbara, Lwegu, Nyalamatata then ...lingusenguse
Bamboo juice dah! Nimekumbuka zamani
 
Sasa kuna sehemu hakuna uchawiiii??
Dah aisee kule kwetu namtumbo kwakweli kumezidi sana kuanzia babu, bibi, shangazi, ba mdogo yan wote wanga acha tu labda kwenu uko peramio hakuna wanga
 
Dah aisee kule kwetu namtumbo kwakweli kumezidi sana kuanzia babu, bibi, shangazi, ba mdogo yan wote wanga acha tu labda kwenu uko peramio hakuna wanga
Kila sehemu uchawi upooo,

Binti ndembo alifanya kunyoa watu na kusafisha lakini wapiii.
Kalembwani na yeye kafanya wee hollah. Famchezo na vibuyu nn.
 
Songea ni mkoa ambao unaongoza Kwa watu wenye roho mbaya na ubinafsi hususan wanapoona mtu mgeni anafanya maendeleo,, ni mkoa ambao una fulsa nyingi lkn wenyeji wamekuwa vipofu na kuzingatia ushirikina, Songea hakuna chuo kikuu hata kimoja yaan ni mkoa ambao bado upo nyuma mnooo,, jitahidin mbadilike jamani hiii nchi yetu sote
Chuo cha kati kipo bhana, kuhusu roho mbaya uongo, hakuna mkoa ambao wageni wanafanya maendeleo kwa uhuru km Ruvuma.

Wenyeji vipofu kwa kipii? Useme viongozi wetu ndo wanashindwa kutuletea nyenzo za kuweza kuleta maendeleo.
 
Chuo cha kati kipo bhana, kuhusu roho mbaya uongo, hakuna mkoa ambao wageni wanafanya maendeleo kwa uhuru km Ruvuma.

Wenyeji vipofu kwa kipii? Useme viongozi wetu ndo wanashindwa kutuletea nyenzo za kuweza kuleta maendeleo.
sawa ka mkubwa
 
Kila sehemu uchawi upooo,

Binti ndembo alifanya kunyoa watu na kusafisha lakini wapiii.
Kalembwani na yeye kafanya wee hollah. Famchezo na vibuyu nn.
Duh wakunyumba achana na watu wa songea nakwambia kwetu wamenyolewa kipindi hicho na kalembwani piga mapala yakutosha lkn wapi ndio kwanza wamechochewa yan ni shida kweli kweli
 
Songea ni mkoa ambao unaongoza Kwa watu wenye roho mbaya na ubinafsi hususan wanapoona mtu mgeni anafanya maendeleo,, ni mkoa ambao una fulsa nyingi lkn wenyeji wamekuwa vipofu na kuzingatia ushirikina, Songea hakuna chuo kikuu hata kimoja yaan ni mkoa ambao bado upo nyuma mnooo,, jitahidin mbadilike jamani hiii nchi yetu sote
Mkuu songea ni manispaa, Bado haijawa mkoa.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom