Lwagaze
Senior Member
- Jan 5, 2022
- 146
- 277
Duuuh wa ni balaa Dumila mbili kabisaaa jamanmie ulanzii nakunywa hata dumla 2 pekee anguu.





Duuuh wa ni balaa Dumila mbili kabisaaa jamanmie ulanzii nakunywa hata dumla 2 pekee anguu.





Umesahau na alooo vp! Unasemajeee! Kyaaani veve mlongo vangu"Sasa wee jeee kunitazama hivyo"
"Hivi we mtu jeee"
"Vipi jeee hapo"
kwetu pazuriiiii
Nikija itabidi niende nikazimue
nikumbukie way backHiyo mkuu sheria yake kabla ya kunywa inabidi iwekwe jikoni kidooogo ipate moto ili upate starter vizuri ukinywa. Niliwahi kunywa Mbinga kwenye kilabu cha manzese bondeni kule 2008 hiyoAsante.
I'm interested here. Hii ipoje
Hapana, inaitwa pacific park opposite ya CRDBHapo si ndo pale stend?
No ! ni sehemu ipo karibia na CRDB imefunguliwa recently like 5 days agoEagles
😂 😂 Umetishahuko ndo kwenyewee, mbna naendaga nabeba na ndoo ndogo (kasekondari), woiiiiiih
Sawa sawa!Asante. Nimelikumbuka jina la huyo mzee anaitwa mzee Mgaya
Crdb?? walevi watapotelea makaburini,No ! ni sehemu ipo karibia na CRDB imefunguliwa recently like 5 days ago
Utaenda na manzese pale Ukanywe madunguNikija itabidi niende nikazimuenikumbukie way back
,,nyie mnapenda pombe looohJamani huku mtuache wakunyumba, nyie ambao kwenu ndo kuzuri na kwa kijanja sio shida zetu, mbna mnatesekaa sanaaa??Umemaliza nashangaa wangoni wanavyojisifia hapo juu
Nimekaa Wiki mbili huko kwa kishamba sana, kiwanja ni La charz tu kwahy watu wote mji uwo utawakuta hapo afu ni sehem ndogo
Mji hauna mishe mishe, mishe hadi misimu ya mazao
Hapo ukiwaondoa Wanajesh kamb za chabruma sijui Ruhuwiko na kamb zingine zile km unaenda mbinga na ishu ya makaa ya mawe panakuwa Dormant town.
Maana wanaume wa huko wanashindwa kulipa Bill wakiingya kwenye kumbi za starehe coz hawana cash.
Kama Hapo Lacharz inajaza askar na watumishi wengine siyo wenyeji na ukimuona mgeni ameingiya la charz ujue anunui bia anaingy amelewa kutoka nje.
Kuhusu totoz hatari, where you are Fetty wa mfaranyaki? demu flani anajua hatari, ila amechuja itakuwa maana anagawa vibaya mno
Kiwanja changu kilikuwa Eliza Liquor store. Nilichukua chumba sehem flan wanaita zwangendaba




Ila wapi sio kwa kishambaa? Na huko kigonsera sec mjanja wee ulifuata nn? Unachekeshaaaa kweliNilipita hapo wakat naenda Kigonsera sec mwaka 2016 ni mji flani hivi wa kishamba sana






kipindi cha kiangazi kama ni mtu wa peku peku funza unao.
Ila kitimoto ya songea ni tamu balaa unakula nyama unasikia harufu ya nguruwe, sio dar unakula nyama uku unasikia harufu ya panadol






Hata hizo lodge zina bei basi
Lodge buku saba




yaan songea kila kitu bei chee.Dumla 2 namaliza ulanziiDuuuh wa ni balaa Dumila mbili kabisaaa jaman![]()






Apu hinu Pena mlongo ulongi chilugha, che cha mgatiiii chene.Umesahau na alooo vp! Unasemajeee! Kyaaani veve mlongo vangu





Hamna tuzungumze kwa hoja na ukweli toa hoja itapendeza zaidiJamani huku mtuache wakunyumba, nyie ambao kwenu ndo kuzuri na kwa kijanja sio shida zetu, mbna mnatesekaa sanaaa??
Mtuacheeee![]()
Hoja gani unataka?? Kwani ktk huu uzi umeona watu wana compare na sehemu ingine? Hapa tupo wakunyumba na wanaoishi hapa tunazungumzia sehemu yetu.Hamna tuzungumze kwa hoja na ukweli toa hoja itapendeza zaidi