Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,733
Wewe kweli toto la kingoniLitisha, magagula, ngahokora, namatuhi, ndongosi, magwamila, nambendo, muhukuru, matimira, mpitimbi, mpandangindo.
upoooo?

Wewe kweli toto la kingoniLitisha, magagula, ngahokora, namatuhi, ndongosi, magwamila, nambendo, muhukuru, matimira, mpitimbi, mpandangindo.
upoooo?

Disi yupii? Maana kuna sehem nyingi. Mpitimbi misheni, msamla making'inda, ruhuwiko kwa matiko pia.I mean kwa diss kitimoto unapajua?![]()
MataraweDisi yupii? Maana kuna sehem nyingi. Mpitimbi misheni, msamla making'inda, ruhuwiko kwa matiko pia.
Wee unazungumzia wapii??
ila Coca na ujanja wako wote hujasahau kwenu...Wewe mtoto wa Jenista Mhagama au?sasa nashindwaje kujua maneno ya ki kwetu.
Nasahahuje ma home??Mataraweila Coca na ujanja wako wote hujasahau kwenu...





Jenista mhagama, ni mbunge wangu, sio mtoto wake, na sina ukaribu nae, ila namfaham kidg.Wewe mtoto wa Jenista Mhagama au?





Wacha weeeJenista mhagama, ni mbunge wangu, sio mtoto wake, na sina ukaribu nae, ila namfaham kidg.![]()
Tavavili je?superfeo
ene wei
songea dar



Mlilayoyo, hanga ngadinda, hanga monasteli, mwana monga, mlete, mletele, mdandamo, matogoro, mashujaa, London, Mjimwema, Hivi yule tajiri aliyekua anaitwa Otawa bado yupo jamaniLitisha, magagula, ngahokora, namatuhi, ndongosi, magwamila, nambendo, muhukuru, matimira, mpitimbi, mpandangindo.
upoooo?
Kigonsera kuna HARARE A B MANZINIkaribu tena niko Kigonsera hapa![]()
Unaonekana umeshindwa kuadopt mazingira haraka mkuu kitai umeshindwa kwenda hata kilabuniukiishi hapo kitai utajua haujui hakuna pa kwenda wala kutembelea panakera aisee
Ottawa alifurushwa na wananchi, baada ya kugundulika kumbe yeye ndo alikua anamtuma mama chaulembo kuvuna viungo vya binadamu, maana amenunua misukulee wee haikutoshaa.Mlilayoyo, hanga ngadinda, hanga monasteli, mwana monga, mlete, mletele, mdandamo, matogoro, mashujaa, London, Mjimwema, Hivi yule tajiri aliyekua anaitwa Otawa bado yupo jamani






Sasa kuna sehemu hakuna uchawiiii??Songea ndio home boy kabisa hapo sema kinachoniboa huko uchawi sana yani usishangae kila nyumba ni wanga yani kulogana mwanzo mwisho ndio mana hata mzuka wa kuja huko kiukweli sina kabisaa eniwei ndio maskani sema wasalimie wote huko.




Nilikumic mnooo. Waaacha niseme tuKaribu songea,
karibu mbinga,
karibu mbamba bay![]()
Enamie ndo nshazoeaaa sasa.
